• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watuishi |
Mlele District Council
Mlele District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mlele

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya
    • Viengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orotha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Mazingira
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa
      • Kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma
    • Sheria Ndogo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kiini cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Album ya Picha
    • Video
    • Hotuba
  • TASAF

Mifugo na Uvuvi

IDARA YA MIFUGO NA UVUVI

7.1   MALENGO YA IDARA:

  • Kutoa elimu juu ya ufugaji bora wa mifugo na uanzishaji wa nyanda za malisho (min ranches)
  • Kuanzisha umoja wa wafugaji kwa lengo la kupata huduma nzuri na kwa urahisi
  • Kuunganisha vijana (wakike na wakiume) kwa lengo la kuanzisha vikundi vya ufugaji kuku na mbuzi wa maziwa.

 

7.2    UTEKELEZAJI WA MALENGO YA IDARA JULAI – DESEMBA 2014

  • Kutoa tiba na kinga dhidi ya magonjwa mbalimbali ya mifugo yakiwemo Ndigana kali, minyoo, ndorobo na mdondo.
  • Kutoa elimu kwa vikundi vya ufugaji kuku na mbuzi wa maziwa kwa vijana  wa kata ya Inyonga
  • Kufanya uchakataji wa kumpata makandarasi wa ujenzi wa machinjio ya kisasa iliyopo katika kata ya Majimoto.
  • Kufanya ukaguzi wa mnada wa mifugo wa Majimoto ili kubaini uendeshaji wa mnada na mapungufu yaliyoko.
  • Kuanzisha mnada wa mifugo katika kata ya Inyonga.
  • Kufuatilia upatikanaji wa majogoo ya kisasa jijini Mbeya – Ileje.

JEDWALI LIFUATALO LINAFAFANUA SHUGHULI ZILIZOFANYIKA KUANZIA JULAI MPAKA DESEMBA. 

Mnyama
Mahali
Ugonjwa
Patwa
Tibiwa
Pona
Kufa
Kinga
Dawa
Ng’ombe
Ilunde
Kuvimba kiwele
20
20
20
-
-
Intra mammary tube
Mbuzi
Usevya
Kuoza miguu
10
10
10
-
-
Dawa ya Kupulizia (OTC Spray)
Ng’ombe
Iny onga
Ndigana kali
50
50
40
10
-
OTC-20%
Parvexone
Hitel 120%
Ng’ombe
Majimoto
Ndigana kali
30
30
25
5
-
OTC-20%
Parvexone
Hitel 120%
Ng’ombe
Kibaoni
Ndorobo (Tryps)
200
200
195
5
400
Somorin
(Isometamidium chloride)
Ng’ombe
Kibaoni
Minyoo
59
59
55
4
-
Trodax
Ivomectin
Ablendazole bolus
Kuku
Inyonga
Minyoo
60
60
60
-
-
Piperazine

7.3    CHANGAMOTO ZINAZOIKABILI IDARA:

  • Upungufu wa wataalamu
  • Upungufu wa vitendea kazi mfano Jokofu la kutunzia dawa za mifugo
  • Ukosefu wa usafiri
  • Ufinyu wa bajeti na kutotolewa kwa wakati
  • Uingiaji holela wa mifugo
  • Wingi wa mifugo kulinganisha na watoa huduma
  • Uhaba wa maji karibu na majosho

7.4    UTATUZI WA CHANGAMOTO:

  • Halmashauri iajiri au itafute wataalamu kwa mkataba
  • Halmashauri kuangalia namna ya kuwapatia wataalamu vitendea kazi ikiwemo usafiri na jokofu la kuhifadhia dawa za mifugo
  • Bajeti ya idara iongezwe na kupewa kipaumbele
  • Kudhibiti uiingiaji holela wa mifugo
  • Kutoa elimu ya ufugaji bora  na wenye tija wa kuku kwa vikundi husika
  • Kuchimba kisima kataka kila josho ili upatikanaji wa maji uwe karibu

Matangazo

  • MAPOKEZI YA MWENGE April 09, 2017
  • WIMBO WA MWENGE April 09, 2017
  • TANGAZO LA KUNYWA DAWA ZA MINYOO YA TUMBO April 26, 2017
  • Nafasi za kazi mbalimbali serikalini July 11, 2018
  • Waonaji wote

Habari Mpya

  • Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Uwekezaji) Prof. Kitila Mkumbo

    March 05, 2021
  • Mkuu wa Mkoa wa Katavi Juma Homera

    March 05, 2021
  • ziara ya Mkuu wa Mkoa kukagua miradi ya maendeleo.

    February 24, 2021
  • Mkuu wa Mkoa Katavi Mhe, Juma Homera na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Wilaya Mlele

    February 24, 2021
  • Waonaji wote

Video

KATUNI SAFI KWA AJILI YA WATOTO
Video Zaidi

wavuti za Haraka

  • FACE BOOK PAGE YA MLELE
  • MLELE DC BLOG
  • kilimo na umwagiliaji
  • mafunzo tovuti za serikali kanda ya magharibi
  • MAONESHO

Wavuti Mwambata

  • Wizara ya Utumishi wa Umma
  • Tume ya ajira ya Tanzania
  • Baraza la Taifa la Mitihani la Tanzania
  • Jamhuri ya muungano wa tanzania
  • Tawala za mikoa na Serikali za mitaa
  • BARAZA LA MITIHANI

Takwimu za Watembeleaji

world map hits counter

Hesabu Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Mlele

    Anuani ya Posta: S.L.P 686 MPANDA

    Simu: +255759023788

    Simu ya Kiganjani: 0759023788

    Barua pepe: ded@mleledc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ya @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Mlele. Hakizote zimehifadhiwa