• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watuishi |
Mlele District Council
Mlele District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mlele

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya
    • Viengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orotha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Mazingira
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa
      • Kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma
    • Sheria Ndogo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kiini cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Album ya Picha
    • Video
    • Hotuba
  • TASAF

Mkuu wa Mkoa Katavi Mhe, Juma Homera na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Wilaya Mlele

Posted on: February 24th, 2021

HALMASHAURI YA WILAYA YA MLELE YADHAMILIA KUKUZA UCHUMI NA KUONGEZA KIPATO KWA HALMASHAURI NA  KWA WANANCHI WAKE KWA KUWEKEZA KATIKA  UJENGA WA  KIWANDA CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI.

Ujenzi wa Kiwanda cha kuchakata mazao ya nyuki  katika Halmashauri ya Wilaya ya Mlele utakapokamilika utakuza uchumi na kuongeza kipato kwa wafugaji  wa nyuki katika halmashauri ya Wilaya ya Mlele.

Ujenzi huo uko katika hatua ya ukamilishaji vitu vidogo vidogo kwa sasa ujenzi umefikia asilimia 85 ya ujenzi na gharama za ujenzi wa mradi  huo ni zaidi ya shilingi milioni 260 ujenzi wa huu ungharana fedha na fedhaa za Serikali.

Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe Comred Juma Zuberi Homera lifanya ziara kutembelea miradi  mbalimbali ya maendeleo,ikiwa ni nyumba za watumishi,jengo la utawala, Kiwanda cha kuchakata mazao ya nyuki pamoja na jengo  la akina mama na watoto.

Mkuu wa  Mkoa Mhe Homera  baada ya ukaguzi wa jengo la Kiwanda  cha  kukusanya,kufungasha na kuchakata  mazao ya nyuki amesisitiza ukamilishaji wa kazi zilizosalia zikamilike ili kiwanda kianze kufanya kazi  na tija ianze kuonekana ,kisha akapongeza kwa kazi nzuri inayoendelea ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo,na kuwataka wakamilshe mapema ili kiwända kiänze kufanya kazi.

Ameeleza kuwa soko la asali lipo siyo la kutafuta  kiwanda kitasaidia kuchakata mazao ya nyuki tutapa nta na asali safi nasoko liko wazi jambo la Msingi amesistiza kukamilka mapema ili tija iweze kuonekana na mabidiliko yaweze kuonekana.

FURSA ZA UWEKEZAJI HALMASHAURI YA WILAYA  MLELE.

Halmashauri ya Wilaya ya Mlele ina fursa mbalimbali za uwekezaji katika sekta za kilimo, mazao ya mistu  nyuki,Utalii na mali Asili.

Bidhaa mbalimbali kutoka kwawajasiliamali ambazo ni pamoja na Asali ya nyuki  wakubwa na wadogo,Mafuta ya Alzeti,bidhaa mbalmbli za  mbao (Samani) watu wanakaribishwa kuchangamkia fursa za hizi za uwekezaji.

Halmashauri ya Wilaya  Mlele ina utajiri mkubwa wa ardhi iliyozungukwa na mistu wawekezaji wanakaribishwa kuwekeza Mlele hivyo ili kuweza kuchangia katika kutoa ajira na mapato kwa Serikali na Hälmashauri.

Yapo maeneo maalum yaliyotengwa kwa ajili ya wafugaji wakubwa,wakati na wadogo,hivyo wawekezaji wa ngazi zote mnakaribishwa kuja kuwekeza Mlele.

Kwenye sekta ya kilimo asilimia 87 ya kazi Halmashauri ya Wilaya  Mlele wanategemea kilimo na ufugaji ndiyo huchangia kwa kiwango kikubwa cha uchumi wa Halmashauri ya Wilaya  Mlele.

Halmashauri ya Wilaya ya Mlele yenye wakazi wapatao  56,695  kwa mjibu wa Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012  Halmashauri inundwa na Tarafa moja ya kiutawala,Kata sita,Vijiji 18,na Vitongoji 84 Wilaya inakadiliwa kuwa na jumla ya eneo lenye ukubwa wa hekta 698,102 Eneo linalofaa kwa kulima linakadiliwa kuwa ni hekta147,694 Jumla ya hekta ndizo zinazotumika kwa ajili ya kilimo cha mazao ya chakula na bustani mbogamboga na matunda.

Halmashauri ya wilaya ina wastani wa Joto sentgradi ya nyuzi 26 hupata aina moja ya mvua zenye kati ya milimita 920-1,200 kwa mwaka.

Msimu wa mvua huanza mwishoni mwa mwezi oktoba hadi Mwezi April na kipindi cha mvua nyingi ni kati y Januari hadi Machi,yapo maeneo yanayofaa kwa kilimo cha umwagiliaji,wawekezaji wanakaribishwa.

Mazao mbalimbali ya chakula na biashara yanastawi vizuri ndani ya Halmashauri ambayo ni pamoja na mahindi,maharage,mihongo,migomba,karanga, viazi vitamu,viazi mvilingo,mihogo,alzeti,mpunga,pamba,tumbaku,korosho, ufuta,kunde na migomba.

Kwa upande wa Maliasili naUtalii Halmashauri ya Wilaya  Mlele ni moja kati ya Halmashauri zenye maeneo yaliyosheheni Rasilimali muhimu kwa Utalii.Maliasili zilisheheni ni mtawanyiko wa mimea,mistu na wanyama mbalimbali pamoja na sehemu zenye mali kale.Kihistoria maumbile ya kuvutia ya milima yenye uoto wa asili.

Fursa za utalii ,

Biashara ya uwindishaji kitalii inafanyika Mlele kama njia ya uvunaji endelevu wa wanyampori,kama uwepo wa wanyama wa aina mbalimbali, kama twiga mweupe mnyama wa kipekee katika Ikolojia ya Hifadhi ya Katavi na maeneo ya Vitalu vya uwindaji.

Kuna uoto pekee uliosheheni mistu ya miombo na mining,maeneo ya kihistoria na matambiko ya machifu,Mlele imeunganishwa na barabara ya lami kutoka Tabora kwenda makao makuu ya Mkoa Mjini Mpanda  na maeneo mengine, uwepo wa  Uwanja wa Ndege wa Mpanda na ujenzi wa Bandari ya  kisasa Karema inayounganisha nchi ya Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Kongo DRC ni moja ya fursa muhimu ya kiuchumi.

Matangazo

  • TANGAZO KUITWA KWENYE USAILI March 15, 2021
  • WIMBO WA MWENGE April 09, 2017
  • TANGAZO LA KUNYWA DAWA ZA MINYOO YA TUMBO April 26, 2017
  • Nafasi za kazi mbalimbali serikalini July 11, 2018
  • Waonaji wote

Habari Mpya

  • picha ya waumini kanisani

    March 25, 2021
  • Ibada maalum ya Maombolezo.

    March 25, 2021
  • Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Uwekezaji) Prof. Kitila Mkumbo

    March 05, 2021
  • Mkuu wa Mkoa wa Katavi Juma Homera

    March 05, 2021
  • Waonaji wote

Video

KATUNI SAFI KWA AJILI YA WATOTO
Video Zaidi

wavuti za Haraka

  • FACE BOOK PAGE YA MLELE
  • MLELE DC BLOG
  • kilimo na umwagiliaji
  • mafunzo tovuti za serikali kanda ya magharibi
  • MAONESHO

Wavuti Mwambata

  • Wizara ya Utumishi wa Umma
  • Tume ya ajira ya Tanzania
  • Baraza la Taifa la Mitihani la Tanzania
  • Jamhuri ya muungano wa tanzania
  • Tawala za mikoa na Serikali za mitaa
  • BARAZA LA MITIHANI

Takwimu za Watembeleaji

world map hits counter

Hesabu Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Mlele

    Anuani ya Posta: S.L.P 686 MPANDA

    Simu: +255759023788

    Simu ya Kiganjani: 0759023788

    Barua pepe: ded@mleledc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ya @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Mlele. Hakizote zimehifadhiwa