• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watuishi |
Mlele District Council
Mlele District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mlele

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Maji
        • Historia
        • Dhima na Dira
        • Muundo wa Taasisi
        • Ukaribisho
        • Jaribu
        • what we do
        • Huduma ya Maji
        • Huduma za Afya
        • Elimu Msingi
        • Huduma
        • Mwenyekiti wa Halmashauri
        • Mkurugenzi Mtendaji
        • Utawala na Rasilimali watu
        • /TEHAMA-na-Takwimu
        • Idara ya Afya na Ustawi wa Jamii
        • Mipango takwimu na Ufuatiaji
        • Ardhi na Maliasili
        • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Sheria
        • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Maendeleo ya Jamii
        • Idara
        • Vitengo
        • Ujenzi
        • Maji
        • Ugavi na Manunuzi
        • Usafishaji na Mazingira
        • Uchaguzi
        • Tasaf III
        • Mainstreaming Sustainable Forest Managment in Woodland of Western Tanzania Project
        • Mwenge waUhuru
        • UKIMWI/ VVU
        • Risk Oficer Cordinator
        • Miradi inayoendelea
        • Zabuni
        • Kazi za Idara Utumishi
        • Muundo wa Halmashauri
        • Miradi Lengwa
        • Kitengo cha nyuki
        • Mwenge
        • Sera ya Faragha
        • Kanusho
        • Machapisho
        • Sheria
        • MTF
        • Fomu
        • Orodha ya Madiwani
        • Fedha, Uongozi na Mipango
        • UKIMWI
        • Maji
        • Mipango Miji na Mazingira
        • Uchumi, Afya na Elimu
        • Maadili
        • Ratiba
        • Vikao vya waheshimiwa
        • Kuonana na Mwenyekiti
        • Madiwani
        • Kanausho
        • Huduma ya Maji
        • Huduma ya Afya
        • Huduma ya Kilimo
        • Huduma ya Elimu
        • Huduma ya Ufugaji
        • Huduma za Uvuvi
        • Huduma za Sheria
        • Huduma za kiutumishi
        • Vivutio vya Utalii
        • Kilimo
        • Ufugaji
        • Itakayo tekelezwa
        • Inayoendelea
        • Iliyo Tekelezwa
        • muongozo
        • Sheria Ndogo
        • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
        • Mpango Mkakati
        • Taarifa
        • Fomu Mbalimbali
        • Taarifa kwa Umma
        • Video za shughuli zetu
        • Maktaba ya Picha
        • Magazeti
        • Hotuba
        • ORODHA YA WAJUMBE WA KAMATI MBALIMBALI ZA KUDUMUKWA MWAKA WA FEDHA 2019/2020
        • KARENDA YA VIKAO VYA KISHERIA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA MLELE KWA MWAKA WA FEDHA 2019/2020
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya
    • Viengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Mahusiano
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Uchaguzi Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orotha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Mazingira
      • UKIMWI
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa
      • Kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kiini cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Album ya Picha
    • Video
    • Hotuba
  • TASAF

Sekretarieti ya Maadili yazindua Mfumo mpya wa Ujazaji Fomu za Tamko la Rasilimali na Madeni kwa njia ya Mtandao

Posted on: June 10th, 2020

Sekretarieti ya Maadili yazindua Mfumo mpya wa Ujazaji Fomu za Tamko la Rasilimali na Madeni kwa njia ya Mtandao

Ili kwenda sambamba na mabadiliko ya sayansi na teknolojia, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma imeanza kutumiaMfumo wa Ujazaji wa Matamko ya Rasilimali na Madeni ya Viongozi wa Umma kwa njia yaMtandao (Online Declaration System - ODS)

Akizindua mfumo huo Kamishna wa Maadili Mhe. Jaji (Mst.) Harold Nsekela alisema kuwa mfumo huu umeanzishwa ili kutekeleza Sera ya Serikali Mtandao (e- Goverrment) ambayo Serikali imeagiza Wizara na Taasisi zote za Umma (MDAs) kutumiaMifumo ya TEHAMA katika kurahisisha mawasiliano na utendaji wa kazi Serikalini.

Mhe. Kamishna alieleza kuwa mfumo huu una umuhimu na faida nyingi sana kwani utawawezesha Viongozi kujaza matamko yao kwa urahisi na kwa usahihi zaidi popote pale watakapokua iwe ndani au nje ya nchi.Aidha, Mhe. Nsekela alibainisha kuwa Mfumo utampunguzia kiongozi usumbufu pamoja na kuingia gharama mbalimbali kama vile gharama za kupakua fomu za tamko, kuzijaza na kuzituma kwa njia ya posta ambapo hutumia fedha pamoja na usumbufu wa kutumia muda mrefu kusafiri kutoka katika sehemu alipo kwenda katika ofisi za Sekretarieti kuwasilisha fomu.

Mhe. Nsekela aliendelea kufafanua kuwa mfumo huu utaondoa uwezekano wa kupokea matamko kutoka kwa watumishi ambao sio Viongozi kwa mujibu wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa UmmaNa. 13 ya mwaka 1995.

“Toka Sheria hii ilivyotungwa mwaka 1995 tumekuwa na tatizo la kupata takwimu sahihi za Viongozi. Viongozi wengi hawajui kama wao ni viongozi au laa, na wakati mwingine hutoa matamko wakiwa wanakaimu nafasi husika wakati sheria inamtambua kiongozi aliyethibitishwa tu kuwa ndiye kiongozi wa umma hivyo basi mfumo huu utasaidia kupata takwimu sahihi za viongozi” alifafanua Mhe. Nsekela.

Aidha, Mhe. Nsekela alisisitiza kuwa jukumu la viongozi kujaza fomu za tamko la rasilimali na madeni sio ombi bali ni takwa la kisheria na kikatiba. “Napenda kuwakumbusha viongozi wenzangu kuwa hatuombwi kujaza fomu za tamko bali ni takwa la kisheria na tunaamrishwa kufanya hivyo kwani hata kiongozi namba moja katika nchi yetu ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli hutekeleza takwa hilo kila mwaka”alisema Mhe. Nsekela.

Mhe. Nsekela alitumia fursa hiyo kuwakumbusha viongozi wa umma kutoa matamko wakati wa kumaliza kutumikia nyadhifa zao kwani viongozi wengi hawafanyi hivyo na kwa kufanya hivyo wanakiuka Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma.

Naye Katibu Idara ya Ukuzaji Madili, Bw. John Kaole akijibu swali lililoulizwa na mwandishi kuhusu hali ya Maadili nchini ukilinganisha na enzi za Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati Aman Abeid Karume alisema kuwa, Hayati Karume alikua mzalendo na utu na alikua mtu mwenye huruma.

Bw. Kaole aliendelea kufafanua kuwa hapo nyuma baada ya mfumo wa vyama vingi kuanzishwa Maadili kwa Viongozi yaliporomoka ndio maana Sheria ya Maadili ikatungwa ili kudhibiti hali hiyo. Aidha, kuhusu hali ya Maadili katika nchi yetu kwa sasa, Bw. Kaole alisema kuwa kwa sasa hali ni nzuri hususani katika awamu hii ya tano inayoongozwa na Mhe. John Pombe Magufuli kwa kuangalia katika kipengele cha urejeshaji wa matamko ambapo imefikia hadi asilimia 97.

Kwa mujibu wa Bw. Kaole kipengele kingine kinachoonesha hali ya Maadili kuwa nzuri ni kwa kuangalia kuboreka kwa utoaji wa huduma muhimu za kijamii katika sekta mbalimbali kama vile afya, elimu, maji, na nyingine nyingi ambapo Viongozi wengi wanaosimamia maeneo hayo kwa sasa wamekua waadilifu na wazalendo.

Mfumo wa Ujazaji wa Fomu za Tamko kwa njia ya Mtandao unachukua nafasi ya utaratibu wa awali wa kujaza Fomu za Tamko kwa mkono na kuziwasilisha kwa Kamishna wa Maadili ifikapo Desemba 31 ya kila mwaka.Mfumo huu unaanza kufanya kazi rasmi kuanzia leo tarehe 7 Aprili, 2020 ambapo dirisha lipo wazi kwa Viongozi wapya na waliomaliza kutumikia nyadhifa zao baada ya kuwasilisha taarifa zao za siri ikiwa ni pamaja na Majina matatu, namba ya/za simu, barua pepe binafsi, taasisi anayofanyia kazi, Wadhifa/Cheo, tarehe ya uteuzi/kuchaguliwa katika Wadhifa/Cheo husika na kama anakaimu au amethibitishwa katika Wadhifa/Cheo.Aidha, taarifa hizi zinatakiwa kutumwa kupitia anuani ya barua helpdesk@ethicssecretariat.go.tz.

Matangazo

  • TANGAZO KUTOKA TUME HURU YA UCHAGUZI March 03, 2025
  • MABADILIKO YA UKUMBI WA USAILI MLELE DC October 04, 2024
  • Tangazo la Ajira ya ukusanyaji wa Mapato July 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI MBALIMBALI ZA AFYA December 10, 2021
  • Waonaji wote

Habari Mpya

  • MIRADI YA MWENGE 2025

    July 01, 2025
  • SIKU YA WAJANE DUNIANI

    June 23, 2025
  • ZIARA YA MAFUNZO MANISPAA YA MOSHI {UKUSANYAJI WA MAPATO}

    June 19, 2025
  • ZIARA YA MAFUNZO MANISPAA YA MOSHI {UDHIBITI WA TAKA NGUMU}

    June 20, 2025
  • Waonaji wote

Video

#TBC LIVE ZOOM: YALIYOJIRI NA MAFANIKIO YA ZIARA YA RAIS SAMIA NCHINI QATAR
Video Zaidi

wavuti za Haraka

  • FACE BOOK PAGE YA MLELE
  • MLELE DC BLOG
  • kilimo na umwagiliaji
  • mafunzo tovuti za serikali kanda ya magharibi
  • MAONESHO
  • Tuma barua pepe hapa

Wavuti Mwambata

  • Wizara ya Utumishi wa Umma
  • Tume ya ajira ya Tanzania
  • Baraza la Taifa la Mitihani la Tanzania
  • Jamhuri ya muungano wa tanzania
  • Tawala za mikoa na Serikali za mitaa
  • BARAZA LA MITIHANI

Takwimu za Watembeleaji

world map hits counter

Hesabu Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Mlele

    Anuani ya Posta: S.L.P 686 MPANDA

    Simu: +25525295197

    Simu ya Kiganjani: 0786077372

    Barua pepe: ded@mleledc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ya @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Mlele. Hakizote zimehifadhiwa