• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watuishi |
Mlele District Council
Mlele District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mlele

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Maji
        • Historia
        • Dhima na Dira
        • Muundo wa Taasisi
        • Ukaribisho
        • Jaribu
        • what we do
        • Huduma ya Maji
        • Huduma za Afya
        • Elimu Msingi
        • Huduma
        • Mwenyekiti wa Halmashauri
        • Mkurugenzi Mtendaji
        • Utawala na Rasilimali watu
        • /TEHAMA-na-Takwimu
        • Idara ya Afya na Ustawi wa Jamii
        • Mipango takwimu na Ufuatiaji
        • Ardhi na Maliasili
        • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Sheria
        • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Maendeleo ya Jamii
        • Idara
        • Vitengo
        • Ujenzi
        • Maji
        • Ugavi na Manunuzi
        • Usafishaji na Mazingira
        • Uchaguzi
        • Tasaf III
        • Mainstreaming Sustainable Forest Managment in Woodland of Western Tanzania Project
        • Mwenge waUhuru
        • UKIMWI/ VVU
        • Risk Oficer Cordinator
        • Miradi inayoendelea
        • Zabuni
        • Kazi za Idara Utumishi
        • Muundo wa Halmashauri
        • Miradi Lengwa
        • Kitengo cha nyuki
        • Mwenge
        • Sera ya Faragha
        • Kanusho
        • Machapisho
        • Sheria
        • MTF
        • Fomu
        • Orodha ya Madiwani
        • Fedha, Uongozi na Mipango
        • UKIMWI
        • Maji
        • Mipango Miji na Mazingira
        • Uchumi, Afya na Elimu
        • Maadili
        • Ratiba
        • Vikao vya waheshimiwa
        • Kuonana na Mwenyekiti
        • Madiwani
        • Kanausho
        • Huduma ya Maji
        • Huduma ya Afya
        • Huduma ya Kilimo
        • Huduma ya Elimu
        • Huduma ya Ufugaji
        • Huduma za Uvuvi
        • Huduma za Sheria
        • Huduma za kiutumishi
        • Vivutio vya Utalii
        • Kilimo
        • Ufugaji
        • Itakayo tekelezwa
        • Inayoendelea
        • Iliyo Tekelezwa
        • muongozo
        • Sheria Ndogo
        • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
        • Mpango Mkakati
        • Taarifa
        • Fomu Mbalimbali
        • Taarifa kwa Umma
        • Video za shughuli zetu
        • Maktaba ya Picha
        • Magazeti
        • Hotuba
        • ORODHA YA WAJUMBE WA KAMATI MBALIMBALI ZA KUDUMUKWA MWAKA WA FEDHA 2019/2020
        • KARENDA YA VIKAO VYA KISHERIA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA MLELE KWA MWAKA WA FEDHA 2019/2020
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya
    • Viengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Mahusiano
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Uchaguzi Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orotha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Mazingira
      • UKIMWI
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa
      • Kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kiini cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Album ya Picha
    • Video
    • Hotuba
  • TASAF

Uchaguzi

MALENGO

. Kuainisha nafasi wazi za viongozi wa vijiji, mitaa, vitongoji na wajumbe waserikali wa vijiji/mitaa na kuwasilisha kwenye mamlaka husika

. Kuratibu chaguzi ndogo za Serikali a Mitaa

. kuandaa ratiba ya uchaguzi na kusambaza kwa vyama vya siasa na wadau wengine

. Kuratibu uteuzi wa wagombea

. Kuratibu uanzishwaji wa maeneo mapya ya kiutawala

. Kuratibu mkutano wa Kwanza wa uchaguzi wa wenyeviti wa Halmashauri mara baada ya uchaguzi mkuu

. Uhakiki endelevu wa vitambulisho vya wapiga kura

. Kutoa elimu ya uchaguzi ya mpigakura

. kutoa matangazo kwa nafasi wazi ya vyama vya siasa

. kutoa mafunzo ya utawala bora kwa viongozi wa serikali za mitaa

Uchaguzi

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, Ibara ya 65inaelekeza kuwa Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani ufanyike kila baadaya kipindi cha miaka mitano (5).Kama ilivyo kwa Nchi nyingine Duniani, katika kuendesha shughuli za Uchaguzi,Tanzania hutumia utaratibu wa mzunguko wa Uchaguzi ambao shughuli zakehugawanywa katika awamu tatu (3). Awamu hizo ni shughuli kabla, wakati na baadaya Uchaguzi.Hivyo, Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetekeleza mfumo wa mzunguko wa Uchaguzikwa kufuata awamu hizo Tatu kama ifuatavyo:(a) Kabla ya UchaguziShughuli zilizofanyika katika awamu kabla ya Uchaguzi ni pamoja na:(i) Uandaaji wa Bajeti;(ii) Uandikishaji wa Wapiga Kura;(iii) Ununuzi wa Vifaa;(iv) Uandaaji wa Kalenda na Mpango wa Utekelezaji;(v) Marekebisho ya Sheria na Maelekezo ya Watendaji na Wadau wa Uchaguzi;(vi) Mafunzo kwa Watendaji wa Uchaguzi;(vii) Kutoa Elimu ya Mpiga Kura; na(b) Wakati wa UchaguziKatika awamu hii, Tume ilifanya shughuli zifuatazo:(i) Uteuzi wa Wagombea;(ii) Uratibu wa Kampeni za Wagombea;55(iii) Utekelezaji wa Kamati za Maadili;(iv) Usajili wa Watazamaji wa Uchaguzi.(v) Kuchapa na kusambaza Karatasi za Kura;(vi) Kusambaza Vifaa vya Uchaguzi;Upigaji Kura;(vii) Kuhesabu Kura; na(viii) Kutangaza Matokeo.(c) Baada ya UchaguziKatika awamu hii, Tume inafanya shughuli zifuatazo:(i) Tathmini baada ya Uchaguzi Mkuu;(ii) Kushughulikia Kesi za Uchaguzi; na(iii) Kuandaa Taarifa ya Uchaguzi Mkuu.(iv) Marekebisho ya Sheria za Uchaguzi;(v) Kupitia na kuboresha Daftari la Wapiga Kura;(vi) Kupitia na kuboresha Mifumo ya Uchaguzi;(vii) Kupitia na kuboresha mipaka ya Majimbo ya Uchaguzi;(viii) Kupitia na kuboresha Muundo wa Tume;(ix) Ukaguzi wa matumizi ya fedha na vifaa vilivyotumika katika Uchaguzi Mkuu;(x) Kupitia Mpango Mkakati; na(xi) Kuandaa Mpango Kazi kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu unaofuata.

Matangazo

  • TANGAZO KUTOKA TUME HURU YA UCHAGUZI March 03, 2025
  • MABADILIKO YA UKUMBI WA USAILI MLELE DC October 04, 2024
  • Tangazo la Ajira ya ukusanyaji wa Mapato July 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI MBALIMBALI ZA AFYA December 10, 2021
  • Waonaji wote

Habari Mpya

  • MAENDELEO YA UJENZI WA SHULE SHIKIZI

    April 03, 2025
  • KIKAO CHA WAMILIKI WA VIWANDA VYA KUCHAKATA UNGA

    March 14, 2025
  • MAMLAKA YA ELIMU TANZANIA TEA KUKABIDHI MIRADI

    February 22, 2025
  • MSAADA WA MADAWATI 136

    January 30, 2025
  • Waonaji wote

Video

#TBC LIVE ZOOM: YALIYOJIRI NA MAFANIKIO YA ZIARA YA RAIS SAMIA NCHINI QATAR
Video Zaidi

wavuti za Haraka

  • FACE BOOK PAGE YA MLELE
  • MLELE DC BLOG
  • kilimo na umwagiliaji
  • mafunzo tovuti za serikali kanda ya magharibi
  • MAONESHO
  • Tuma barua pepe hapa

Wavuti Mwambata

  • Wizara ya Utumishi wa Umma
  • Tume ya ajira ya Tanzania
  • Baraza la Taifa la Mitihani la Tanzania
  • Jamhuri ya muungano wa tanzania
  • Tawala za mikoa na Serikali za mitaa
  • BARAZA LA MITIHANI

Takwimu za Watembeleaji

world map hits counter

Hesabu Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Mlele

    Anuani ya Posta: S.L.P 686 MPANDA

    Simu: +25525295197

    Simu ya Kiganjani: 0786077372

    Barua pepe: ded@mleledc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ya @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Mlele. Hakizote zimehifadhiwa