• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watuishi |
Mlele District Council
Mlele District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mlele

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya
    • Viengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orotha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Mazingira
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa
      • Kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma
    • Sheria Ndogo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kiini cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Album ya Picha
    • Video
    • Hotuba
  • TASAF

Halmashauri ya wilaya ya Mlele imeendelea kutekeleza lengo la kuboresha hali ya maisha

Posted on: February 8th, 2021

Halmashauri yatoa Mkopo kwa Vikundi vya Wajasiliamali wanawake ,Vijana na watu wenye ulemavu.

Halmashauri ya wilaya ya Mlele imeendelea kutekeleza lengo la kuboresha hali ya maisha ya wananchi kijamii na kiuchumi kwa kutoa mikopo ya kwa vikundi 14 kwa wanawake Vijana na watu wenye ulemavu, kwa kipindi cha julai hadi Novemba mwaka    kipindi cha robo ya nne ya mwaka wa fedha  2020/2021  mkopo huu ni kutekeleza maelekezo ya Serikali ya  kuhakikisha asilimia ya  kumi ya mapato ya ndani yanayotengwa kwa ajili ya kuwawezesha wajasiliamali,wanawake,Vijana na watu wenye ulemavu kutekeleza shughuli zao za ujasiliamali wenye tija.

Akizungumzia utoaji wa mikopo hiyo kwa vikundi vya Wajasiliamali wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kwenye Mkutano wa Baraza la Madiwani la kujadiili mpango na Bajeti  uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Shule ya Sekondari Inyonga Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Mwl Alexius  Revocatus Kagunze ameeleza kuwa Halmashauri ya Mlele jumla ya shilingi milioni 60 zimekopeshwa kwa jumla ya vikundi,ikiwa ni vikundi 14 vya wanawake vinane, Vijana vikundi vitano na watu wenye ulemavu kikundi kimoja.   

Kwa mwaka wa fedha 2020/2021 Halmashauri ya Wilaya ililenga kutoa mikopo isiyo na riba kwa vikundi vya wanawake milioni  Vijana  milioni  na watu wenye ulemavu  milioni yenye thamani ya shilingi 72 milioni  hadi kufikia Novemba 2021 Halmashuri imetoa mikopo yenye thamani ya shilingi  62.5 milioni, ambapo wanawake walipata milioni 31,Vijana 26.5 milioni na watu wenye ulemavu walipata milioni tano.

Mkurugenzi huyo amesema manufa yanayotarajiwa baada ya kutoa mikopo hii ni pamoja na kurejesha vikundi  kupanua mtaji,kuongeza uzalishaji wa bidhaa mbalimbali zitakazokidhi mahitaji ya soko na kuleta manufaa yaliyokusudiwa kwa walengwa.

Manufaa mengine ni kuchochea utengenezaji na upatikanaji wa ajira kwa vijana kuwaepusha wanufaika na vitendo hatarishi vinavyochochea mmomonyoko wa maadili na uvunjifu wa amani.

Ukuaji wa Uchumi wa kaya na jamii na kupunguza umasikini,pia Halmashauri itaongeza mapato kupitia vyanzo vyake vinavyoelekeana na shughuli za wajasiliana.

Mwisho.

Matangazo

  • MAPOKEZI YA MWENGE April 09, 2017
  • WIMBO WA MWENGE April 09, 2017
  • TANGAZO LA KUNYWA DAWA ZA MINYOO YA TUMBO April 26, 2017
  • Nafasi za kazi mbalimbali serikalini July 11, 2018
  • Waonaji wote

Habari Mpya

  • Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Uwekezaji) Prof. Kitila Mkumbo

    March 05, 2021
  • Mkuu wa Mkoa wa Katavi Juma Homera

    March 05, 2021
  • ziara ya Mkuu wa Mkoa kukagua miradi ya maendeleo.

    February 24, 2021
  • Mkuu wa Mkoa Katavi Mhe, Juma Homera na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Wilaya Mlele

    February 24, 2021
  • Waonaji wote

Video

KATUNI SAFI KWA AJILI YA WATOTO
Video Zaidi

wavuti za Haraka

  • FACE BOOK PAGE YA MLELE
  • MLELE DC BLOG
  • kilimo na umwagiliaji
  • mafunzo tovuti za serikali kanda ya magharibi
  • MAONESHO

Wavuti Mwambata

  • Wizara ya Utumishi wa Umma
  • Tume ya ajira ya Tanzania
  • Baraza la Taifa la Mitihani la Tanzania
  • Jamhuri ya muungano wa tanzania
  • Tawala za mikoa na Serikali za mitaa
  • BARAZA LA MITIHANI

Takwimu za Watembeleaji

world map hits counter

Hesabu Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Mlele

    Anuani ya Posta: S.L.P 686 MPANDA

    Simu: +255759023788

    Simu ya Kiganjani: 0759023788

    Barua pepe: ded@mleledc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ya @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Mlele. Hakizote zimehifadhiwa