• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watuishi |
Mlele District Council
Mlele District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mlele

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Maji
        • Historia
        • Dhima na Dira
        • Muundo wa Taasisi
        • Ukaribisho
        • Jaribu
        • what we do
        • Huduma ya Maji
        • Huduma za Afya
        • Elimu Msingi
        • Huduma
        • Mwenyekiti wa Halmashauri
        • Mkurugenzi Mtendaji
        • Utawala na Rasilimali watu
        • /TEHAMA-na-Takwimu
        • Idara ya Afya na Ustawi wa Jamii
        • Mipango takwimu na Ufuatiaji
        • Ardhi na Maliasili
        • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Sheria
        • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Maendeleo ya Jamii
        • Idara
        • Vitengo
        • Ujenzi
        • Maji
        • Ugavi na Manunuzi
        • Usafishaji na Mazingira
        • Uchaguzi
        • Tasaf III
        • Mainstreaming Sustainable Forest Managment in Woodland of Western Tanzania Project
        • Mwenge waUhuru
        • UKIMWI/ VVU
        • Risk Oficer Cordinator
        • Miradi inayoendelea
        • Zabuni
        • Kazi za Idara Utumishi
        • Muundo wa Halmashauri
        • Miradi Lengwa
        • Kitengo cha nyuki
        • Mwenge
        • Sera ya Faragha
        • Kanusho
        • Machapisho
        • Sheria
        • MTF
        • Fomu
        • Orodha ya Madiwani
        • Fedha, Uongozi na Mipango
        • UKIMWI
        • Maji
        • Mipango Miji na Mazingira
        • Uchumi, Afya na Elimu
        • Maadili
        • Ratiba
        • Vikao vya waheshimiwa
        • Kuonana na Mwenyekiti
        • Madiwani
        • Kanausho
        • Huduma ya Maji
        • Huduma ya Afya
        • Huduma ya Kilimo
        • Huduma ya Elimu
        • Huduma ya Ufugaji
        • Huduma za Uvuvi
        • Huduma za Sheria
        • Huduma za kiutumishi
        • Vivutio vya Utalii
        • Kilimo
        • Ufugaji
        • Itakayo tekelezwa
        • Inayoendelea
        • Iliyo Tekelezwa
        • muongozo
        • Sheria Ndogo
        • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
        • Mpango Mkakati
        • Taarifa
        • Fomu Mbalimbali
        • Taarifa kwa Umma
        • Video za shughuli zetu
        • Maktaba ya Picha
        • Magazeti
        • Hotuba
        • ORODHA YA WAJUMBE WA KAMATI MBALIMBALI ZA KUDUMUKWA MWAKA WA FEDHA 2019/2020
        • KARENDA YA VIKAO VYA KISHERIA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA MLELE KWA MWAKA WA FEDHA 2019/2020
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya
    • Viengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Mahusiano
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Uchaguzi Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orotha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Mazingira
      • UKIMWI
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa
      • Kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kiini cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Album ya Picha
    • Video
    • Hotuba
  • TASAF

KITENGO CHA MAWASILIANO

Start Date: 2025-04-06
End Date: 2024-03-19

MLELE DISRICT COUNCIL

 GOVERNMENT COMMUNICATI UNIT


COMMUNICATION STRATEGY FOR MLELE DISTRICT COUNCIL

I.NTRODUCTION

Mlele District Council is one of the rapidly growing councils in Tanzania, entrusted with the crucial responsibility of overseeing social and economic development for its citizens.To achieve its development for its development goals, the the council requires an effective communication system that facilitates the dissemination of accurate, timely, and transparent information of various stakeholders, including the public, government leaders, the private sector, and development partners.

Effective communication is avital tool for bulding awareness, fostering collaboration, and enhancing accountability and transparency in the council’s operations.Additionally, good communication helps strenghthen the relationship between the council and its stakeholders, thereby increasing trust and cooperation in implementing various projects and services.

This Communication Strategy Plan has been developed to provide a clear direction for both internal and external communication within Mlele District Council.It aims to enhance information dissemination, improve internal communication, and increase efficiency in engaging citizens and all stakeholers in development processes.

This plan addresses the communicatin needs of Mlele District Council for the five years and is designed considering the regional context and the community it serves.It outlines the goals,strategies,communication channels,key messages,budget,and monitoring and evoluation mechanisms to ensure its effective and successful implementation.

2. Vision and Mission:

  • Vision: To establish an affective communication system that ensures transparent, efficient, and timely informationdelivery to all stakeholders.
  • Mission:To strengthen communication between the Council and its  stakeholders to enhance yransparency,accountability,and colloaboration in the implementation of development plan

 

 

3. Objectives of the Communication Strategy:

  • To provide accurate and timely information on the Councils plans, projects,and services to the public and other stakeholers.
  • To enhance iternal communication among Departments and units within the Council.
  • To promote cooperation of citizens and various stakeholders in development plans.
  • To increase transparency and accountability in the council operations.
  • To publicize achievements and economic opportunities in Mlele Distric to attract investment and economic growth.

4. Key Stakeholders

  • Citizens of Mlele District.
  • Council employees and polictical leaders.
  • Ministries and Government Agencies.
  • Non-Governmental Organizations (NGOs) and development partners.
  • The private sector and investors.
  • Media (radio,television,newspapers,and social media)

5. Key Messages

  • Clear and accurate messages on development plan and projects.
  • Message that encourage cooperation and participation of citizens.
  • Messages that demonstrate transparency and accountability in the councils operations.
  • Messages that highlight achievements and economic opportunities available in Mlele District.

 

 

6. Communication Channels and Methods:

  • Social Media: Utilizing Facebook, Twitter, Instagram, and WhatsApp for announcements and public inquiries.
  • Mass Media: Announcements and interviews on community radio stations and local and national television channels.
  • Public Meeting and Workshops: Engaging citizens through public meetings, sensitization workshops, and feedback sessions on projects and services.
  • Posters and Brochures: Priting and distributing posters and brochures containing essential public information.
  • Official Council Website: Posting all relevant and regularly updated information on the official website.
  • Official Letters and Press Releases: Sending official letters and releases to key stakeholders, including media outlets and development organizations.

7. Monitoring and Evaluation:

  • Establishing a system to measure the effectictiveness of this strategy using indicators such as number of people attending meetings, feedback from citizens,and social media reach.
  • Conducting regular evaluations to identify challenges and successes.and making improvement where necessary.

8. Budget and Resources:

The budget will include costs for advertisements, priting of Posters and Brochures, staff training, and information and communication technology equipment.

Utilizing internal resources and collaborating with various stakeholders to minimize implementation costs.

9. Conclusion:

This Communication Strategy Plan aims to improve the communication system of Mlele District Council to enhance Transparency, accountability, and Collaboration between the Council and its stakeholders.By effectively implementing this Strategy, the council will enhance the Provision of quality services to citizens and contribute to sustainable social and economic development in Mlele District.

 

 

 

 

 

 

 

16. MPANGO MKAKATI WA MAWASILIANO WA WILAYA YA MLELE. 

1. UTANGULIZI.

Halmashauri ya Wilaya ya Mlele ni miongoni mwa Halmashauri zinazokua kwa kasi nchini Tanzania.ikiwa na majukumu muhimu ya kusimamia maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa wananchi wake.Ili kufanikisha malengo yake ya maendeleo, halmashauri inahitaji kuwa na mfumo bora wa mawasiliano unaowezesha utoaji wa taarifa sahihi, kwa wakati na kwa uwazi kwa wadau mbalimbali, ikiwemo wananchi, viongozi wa serikali, sekta binafsi, na washirika wa maendeleo.

Mpango huu unazingatia mahitaji ya  mawasiliano ya Halmashauri ya wilaya ya Mlele kwa kipindi cha miaka mitano ijayo na umebuniwa kwa kuzingatia mazingira halisi ya mkoa na jamii inayohudumiwa.Unataja malengo,mikakati,njia za mawasiliano,ujumbe muhimu,bajeti na mbinu za ufuatiliaji na tathmini ili kuhakikisha utekelezaji wake kwa ufanisi na mafanikio.

2. Dira na Dhamira:

  • Dira:Kuwa na mfumo bora wa mawasiliano unaowezesha utoaji wa taarifa kwa uwazi,ufanisi,na kwa wakati kwa wadau wote.
  • Dhamira: Kuimarisha mawasiliano kati ya Halmashauri na wadau wake ili kuongeza uwazi, uwajibikaji, naushirikiano katika utekelezaji wa mipango ya maendeleo.

3. Malengo ya Mkakati wa Mawasiliano

  • Kutoa taarifa sahihi na kwa wakati kuhusu mipango, miradi, na huduma za Halmashauri kwa wananchi na wadau wengine.
  • Kuimarisha mawasiliano ya ndani kati ya Idara na Vitengo vya Halmashauri.
  • Kuhamasisha ushirikiano na ushirikishwaji wa wananchi na wadau mbalimbali katika mipango ya maendeleo.
  • Kuongeza uwazi na uwajibikaji katika utendaji wa Halmashauri.
  • Kutangaza mafanikio na fursa zilizopo katika wilaya ya Mlele kwa lengo la kuvutia uwekezaji na maendeleo ya kiuchumi.
  •  

4. Wadau Muhimu

  • Wananchi wa wilaya ya Mlele
  • Watumishi wa Halmashauri na Viongozi wa kisiasa
  • Wizara na Taasisi za Serikali.
  • Mashirika yasiyo ya kisekali na wadau wa Maendeleo
  • Sekya binafsi na wawekezaji
  • Vyombo vya habari (redio,televisheni,magazeti,na mitandao ya kijamii)

5. Ujumbe Muhimu

  • Ujumbe wa wazi na sahihi kuhusu mipango na miradi ya maendeleo.
  • Ujumbe unaohamasisha ushirikiano na ushirikishwaji wa wananchi
  • Ujumbe unaoonyesha uwazi na uwajibikaji katika utendaji wa Halmashauri.
  • Ujumbe unaotangaza mafanikio na fursa za kiuchumi katika wilaya ya Mlele.

 6. Njia naMbinu za Mawasiliano

  • Mitandao ya Kijamii: Kutumia Facebook, Twitter, Instagram na WhatsApp kwa ajili ya kutangaza taarifa na kujibu maswali ya wananchi.
  • Vyombo vya Habari: Matangazo na Mahojiano kwenye redio za kijamii, televisheni za kitaifa na za mitaa.
  • Mikutano ya Hadhara na Warsha: Kuhusisha wananchi katika mikutano ya hadhara, warsha za uhamasishaji na kutoa mrejesho kuhusu miradi na huduma.
  • Mabango na Vipeperushi: Kuchapisha na kusambaza mabango na vipeperushi vyenye taarifa muhimu kwa umma.
  • Tovuti Rasmi ya Halmashauri; Kuweka taarifa zote muhimu na zinazohuisha mara kwa mara kwenye tovuti rasmi.
  • Barua na Taarifa Rasmi: Kutuma barua na taarifa rasmi kwa watu muhimu ikiwa ni pamoja na vyombo vya habari na mashirika ya maendeleo.

7. Ufuatiliaji na Tathmini:

  • Kuweka mfumo wa kuima ufanisi wa mkakati huu kwa kutumia vigezo kama vile idadi ya watu walioshiriki katika mikutano, maoni na mrejesho kutoka kwa wananchi, na idadi ya watu waliofikiwa kupitia mitandao ya kijamii na vyombo vya habari.
  • Kufanya tathmini ya mara kwa mara ili kubaini changamoto na mafanikio,na kufanya maboresho pale inapohitajika.

8. BAJETI NA RASILIMALI:

  • Bajeti itajumuisha gharama za matangazo na,uchapishaji wa mabango na vipeperushi,mafunzo kwa watumishoi,na vifaa vya teknolojia ya habari na mawasilinao.
  • Kutumia rasilimali za ndani na ushirikiano na wadau mbalimbali ili kupunguza gharama za utekelezaji.

9. HITIMISHO

Mpango huu wa Mkakati wa Mawasiliano unalenga kuboresha mfumo wa mawasiliano wa Halmashauri ya Wilaya ya Mlele ili kuongeza uwazi,uwajibikaji,na ushirikiano kati ya Halmashauri na wadau wake.Kwa utekelezaji wa mkakati huu kwa ufanisi,Halmashauri itaimarisha utoaji wa huduma bora kwa wananchi na kuchangia katika maendeleo endelevu ya kijamii na kiuchumi katika wilaya ya Mlele.



 

. MKAKATI WA MAWASILIANO KUHUSU KILIMO KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MLELE JANUARI –DESEMBA 2025.

1. UTANGULIZI.

Kilimo ni nguzo muhimu katika uchumi wa halmashauri nyingi, ikiwa ni chanzo cha mapato, ajira, na chakula kwa jamii.

Halmashauri Wilaya ya Mlele ina jukumu la kuhakikisha kuwa wakulima wanapata taarifa sahihi na msaada wa kutosha ili kuongeza uzalishaji na kuboresha maisha yao. Mkakati huu wa Mawasiliano utalenga kuhamasisha matumizi bora ya ardhi,teknolojia ya kilimo,masoko,na uboreshaji wa miundombinu ya kilimo ili kuboresha sekta ya kilimo na kuongeza tija na mapato ya wakulima.

2. MALENGO YA MAWASILIANO.

  • Kuhamasisha wananchi kuhusu umuhimu wa kilimo bora na matumizi bora ya ardhi.
  • Kutoa elimu kuhusu mbinu bora za kilimo,matumizi ya mbolea,na kilimo cha kisasa.
  • Kuelimisha kuhusu masoko ya mazao na mikopo kwa wakulima.
  • Kuhamasisha ushiriki wa vijana na wanawake katika shughuli za kilimo.
  • Kuongeza uelewa wa wananchi kuhusu changamoto zinazokumba kilimo na jinsi kuzitatua.
  • Kutoa taarifa kuhus mafanikio ya kilimo na ushiriki wa Halmashauri katika kukuza kilimo cha kisasa.

 

3. WADAU MUHIMU.

  • Wakulima- Walengwa wakuu wa elimu kuhusu kilimo bora na teknolojia ya kilimo.
  • Viongozi wa Serikali za Mitaa-Wanaohusika na kutoa msaada kwa wakulima na kuismamia shughuli za kilimo.
  • Mashirika ya kilimo-Taasisi zinazosaidia katika kutoa mafunzo ya kilimo na rasilimali.
  • Vyombo vya Habari-Kusambaza habari na elimu kuhusu kilimo na maendeleo ya sekta ya kilimo.
  • Vyuo vya kilimo na Tafiti-Taasisi zinazofanya utafiti na kutoa mbinu bora za kilimo.
  • Sekta Binafsi-Watoa huduma za kilimo kama vile mbolea, mbegu na vifaa vya kilimo.
  • 4. MBINU ZA MAWASILIANO.
  • Mkakati huu utatumia mbinu mbalimbali za mawasiliano ili kuhakikisha kuwa wakulima wanapata taarifa muhimu kuhusu kilimo.
  • A.Matumizi ya vyombo vya Habari.
  • 1. Radio za Kijamii- Vipindi vya kilimo bora masoko ya mazao,na teknolojia ya kisasa ya kilimo.
  • 2.Mitandao ya Kijamii-(Facebook,whats App,Instagram,Twetter,You Tube,)Kutangaza Makala video,na taarifa kuhusu kilimo bora,usimamizi wa mazao na masoko.
  • 3. Magazeti na Blogs- Makala kuhusu teknolojia mpya za kilimo, mafanikio ya kilimo,na changamoto za wakulima
  •  B.Uhamasishaji wa moja kwa moja.
  • 1. Mikutano ya Wananchi-Kutoa elimu kuhusu kilimo cha kisasa, matumizi ya mbegu bora, na masoko ya mazao.
  • 2. Mabango na Vipeperushi-Kutangaza mbinu bora, za kilimo, faida za kilimo cha kisasa, na jinsi ya kuanzisha biashara ya kilimo.
  • 3. Semina na Mafunzo kwa wakulima-Kuandaa semina na mafunzo kwa wakulima kuhusu kilimo bora, usimamizi wa ardhi na masoko ya mazao.
  • 4. Siku za Kilimo-Kuandaa maonyesho ya kilimo, ambapo wakulima wataweza kuona na kujifunza mbinu bora za kilimo kutoka kwa wataalam na wajasiliamali.
  • C.Matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT)
  • 1. Huduma ya SMS-Kutuma taarifa kuhusu masoko ya mazao, mabadiliko ya bei,na mikopo kwa wakulima.
  • 2. Websites na Blogs za Halmashauri-Kutoa taarifa za kina kuhusu mbinu bora za kilimo na masoko ya mazao,na Mikopo kwa wakulima.
  • 3. Podcasts na Radio za Mtandaoni-Kuongea na wataalam kuhusu kilimo cha kisasa, masoko na changamoto zinazokumba sekta ya kilimo.
  •  
  • 5. KAMPENI KUU ZA MAWASILIANO.

Kampeni kuu zitakazotekelezwa ni

  • Kampeni ya Uhamasishaji kuhusu Kilimo Bora.
  • (Kuhamasisha wakulima kuhus mbinu bora za kilimo na matumizi bora ya ardhi)
  • Kampeni ya Elimu kuhusu Masoko ya Mazao.(Kutoa elimu kuhusu masoko ya mazao,mikopo, na biashara ya kilimo.)
  • Kampeni ya ushiriki wa Vijana na wanawake katika kilimo.(Kuhamasisha Vijana na wanawake kuingia kwenye shughuli za kilimo na biashara ya kilimo)
  • Kampeni ya mafunzo ya kilimo cha Kisasa (Kutoa mafunzo kuhusu matumizi ya teknolojia mpya ya kilimo endelevu.
  • 6. UJUMBE MUHIMU WA MAWASILIANO.
  • “Kilimo Bora,Maisha Bora”
  • “Kilimo ni uchumi- Jifunze Kilimo cha Kisasa!”
  • “Fanya Kilimo Kuwekeza, UjikwamueKiuchumi!”
  • “Tumia Teknolojia Bora ya Kilimo, Pandisha Uzalishaji!”
  • “Vijana na Wanawake, PiganieniNafasi Yenu Katika Kilimo!”

7. RATIBA YA UTEKELEZAJI

Hatua
Shughuli
Muda
Wajibu
1
Kutoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu kilimo bora
Januari
2025
Ofisi ya Mawasiliano
2
Kuandaa mabango na vipeperushi kuhusu kilimo bora
Februari  2025
Divisheni ya  Kilimo
3
Kufanya mikutano ya wazi kuhusu kilimo cha kisas
Machi 2025
Viongozi wa Mitaa
4
Kuzindua Kampeni ya Mitandao ya Kijamii kuhusu kilimo Bora
Machi 2025
Afisa Mawasiliano.
5
Kufanya Semina na Mafunzo kwa wakulima
Mei 2025
Kamati za Kilimo
6
Kufanya Tathimini ya kampeni na Mafanikio
Desemba 2025
Kamati ya Mawasiliano

 

8. UFUATILIAJI NA TATHIMINI.

  • Kupima kiwango cha ufanisi wa elimu kuhusu kilimo bora kwa kutumia tafiti na maoni ya wakulima.
  • Kufuatilia idadi ya wakulima wanaotumia mbinu bora za kilimo na kiwango cha uzalishaji wao.
  • Kufanya tathimini ya utekelezaji wa mikutano na mafunzo kwa wakulima.
  • Kupima kiwango cha ushiriki wa wakulima katika semina na maonyesho ya kilimo

HITIMISHO.

Mkakati huu wa Mawasiliano utahakikisha kuwa wakulima wanapata elimu muhimu kuhusu kilimocha kisasa na masoko ya mazao,ili kuongeza tija na mapato yao.

 

2. MKAKATI WA MAWASILIANO KUHUSU MATUMIZI BORA YA ARDHI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MLELE JANUARI-DESEMBA 2025.

1. UTANGULIZI.

  • Matumizi bora ya ardhi ni muhimu kwa Maendeleo endelevu ya Jamii,hasa katika Halamshauri ambapo ardhi ni rasilimali muhimu kwa kilimo,makazi,viwanda na maliasili.Halmashauri ina jukumu la la kuhakikisha kwamba ardhi  inatumika kwa njia inayozingatia sheria.hifadhi ya mazingira,naustawi wa jamii.
  • Mkakati huu wa Mawasiliano unalenga kuhamasisha wananchi na wadau wote kuhusu umuhimu  wa matumizi bora ya ardhi, kueleimisha kuhusu haki na wajibu waumiliki wa ardhi,na kuhakikisha matumizi ya ardhi yanazingatia miongozo ya kisiasa na kijamii.

2. MALENGO YA MAWASILIANO.

  • Kuhamasisha wananchi kuhusu Matumizi bora ya ardhi na athari za matumizi yasiyofaa.
  • Kutoa elimu kuhusu masuala ya mipango miji, umiliki wa ardhi na masuala ya kisheria yanayohusiana na ardhi.
  • Kuelimisha kuhusu umuhimu wa kuhifadhi ardhi kwa maendeleo endelevu.
  • Kuongeza uelewa wa jamii kuhus umuhimu wa matumizi sahihi ya ardhi katika kilimo makazi na viwanda.
  • Kuhamasisha ushirikiano kati ya Jamii, Serikali, Sekta binafsi katika kuimarisha matumizi bora ya ardhi.
  • Kupunguza Migogoro ya ardhi Kwa kutoa elimu na ushauri kuhusu masuala ya umiliki na mpango wa matumizi ya ardhi.

3. WADAU MUHIMU.

  • Wananchi-Walengwa wa elimu kuhusu umiliki na matumizi bora ya ardhi
  • Wamiliki wa Ardhi-Wale wanaoshughulika na kilimo,            Makazi, nabiashara zinazohusiana na ardhi.
  • Viongozi wa Serikali za Mitaa-Wanaohusika na usimamizi wa ardhi katika halmashauri.
  • Vyombo vya Habari.-Kusambaza taarifa kuhusu matumizi bora ya ardhi na migogoro ya ardhi.
  • Mashirka ya Ardhi-Taasisi zinazohusika na upangaji wa matumiz ya ardhi, mipango ya miji,na masuala ya ardhi.
  • Wadau wa Mazingira-Mashirika na Taasisi zinazohusika na hifadhi ya mazingira na uendelevu wa matumizi ya ardhi
  • Sekta Binafsi -Wafanyabiashara na wadau wa viwanda wanaotumia ardhi kwa ajili ya miradi ya kibiashara.

4. MBINU ZA MAWASILIANO.

Mkakati huu utatumia mbinu mbalimbali za Mawasiliano ili kuhamasisha matumizi bora ya ardhi na kupunguza migogoo ya ardhi.

A.matumizi ya vyombo vya Habari.

1. Radio za Jamii-Vipindi vya elimu kuhusu matumizi bora ya ardhi, masuala ya umiliki wa ardhi, na athari za matumizi yasiyofaa.

2.Mitandao ya Kijamii.- -(Facebook,whatsApp,Instagram,Twetter,You Tube,)Kutangaza Makala video,na taarifa kuhusu matumizi bora ya ardhi.

3. Magazeti na Blogs- Makala kuhusu haki za umiliki wa ardhi,usimamizi wa ardhi, na madhara ya matumizi yasiyofaa ya ardhi. 

B.Uhamasishaji wa Moja kwa Moja.

 1. Mikutano ya Wananchi-Kutoa elimu kuhusu matumizi bora ya ardhi, mipango miji,na masuala ya kisheria yanayohusiana nardhi. 

2. Mabango na Vipeperushi-Kutangaza na kutoa taarifa kuhusu matumizi bora ya ardhi. Mipango ya matumizi ya ardhi na hatari za matumizi yasiyofaa 

3. Siku ya Ardhi ya Haki- Kuandaa siku maalumu ya kutoa elimu kuhusu matumizi bora ya ardhi na namna ya kuepka migogoro ya ardhi. 

4. Semina na Mafunzo kwa wamiliki wa Ardhi- Kuandaa semina kwa wamiliki wawamiliki wa ardhi kuhusu njia bora za kutumia ardhi kwa kilimo biarashara na makazi. 

C.Matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT)

1. Huduma ya SMS-Kutuma taarifa kuhusu miongozo ya matumizi bora ya ardhi na masharti ya kisheria yanayohusu ardhi. 

2. Websites na Blogs za Halmashauri-Kutoa taarifa ya kina kuhusu mipango ya matumizi ya ardhi, sheria, na miongozo kuhusu usimaizi wa ardhi. 

3. Podcasts na Radio za Mtandaoni-Kuongea na wataalam kuhusu matumizi bora ya ardhi, migogoro ya ardhi,na ufumbuzi wa kisheria na kisiasa.

5. KAMPENI KUU ZA MAWASILIANO  

Kampeni kuu zitakazotekelezwa ni

  • Kampeni ya Uhamasishaji kuhusu Matumizi Bora ya Ardhi.
  • (Kuhamasisha matumizi bora ya ardhi kwa kilimo, makazi,na biashara.)
  • Kampeni ya Elimu kuhusu Masuala ya Sheria ya Ardhi. (Kutoa elimu kuhusu haki, na wajibu wa umiliki wa ardhi, pamoja na sheria zinazoongoza matumizi ya ardhi.)
  • Kampeni ya kudhibti Migogoro ya Ardhi.(Kuhamasisha matumizi ya utawala bora,uwazi,nautaratibu wa kisheria ili kupunguza migogoro ya ardhi.)
  • Kampeni ya Hifadhi ya Mazingira na Ardhi.(Kuhamasha wananchi na wadau kuhusu umuhimu wa hifadhi ya mazingira katika matumizi bora ya ardhi.)  
  •  
  • 6. UJUMBE MUHIMU WA MAWASILIANO.
  • “Ardhi ni Rasilimali, Matumizi Bora Yake ni Maendeleo ya kudumu!” 
  • “Matumizi Bora ya Ardhi, Maisha Bora kwa Jamii!” 
  • “Hifadhi Ardhi Yako,Hifadhi Maisha yetu”
  • “Sheria za Ardhi, Zinahakikisha Usalama wa Umiliki na Maendeleo!” 
  • “Kwa Matumizi Bora ya Ardhi, Tunajenga Uchumi Endelevu!”

 

7. RATIBA YA UTEKELEZAJI.

Hatua
Shughuli
muda
Wajibu
1
Kutoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu Matumizi bora ya ardhi
Januari 2025
Ofisi ya Mawasiliano
2
Kuandaa Mabango na Vipeperushikuhusu matumizi bora ya ardhi
Februari 2025
Kitengo cha Ardhi
3
Kufanya Mikutano ya wazi kuhusu masuala ya matumizi bora ya ardhi
Machi 2025
Viongozi wa vitongoji, vijiji na Mitaa
4
Kuzindua kampeni za mitandao ya kijamii kuhus matumizi bora ya ardhi
Machi 2025
Afisa Mawasiliano
5
Kufanya Semina na Mafunzo kwa wamiliki wa ardhi
Mei 2025
Kamati ya Ardhi
6
Kufanya tathimini ya Kampeni ya Mafanikio.
Desemba 2025
Kamati ya Mawasiliano

8. UFUATILIAJI NA TATHIMINI.

  • Kupima kiwango cha ufanisi wa elimu kuhusu matumizi bora ya ardhi kwa kutumia tafiti na maoni ya wakulima.
  • Kufuatilia idadi ya wamiliki wa ardhi wanaohusisha matumizi bora ya ardhi na kupunguza migogoro. 
  • Kufanya tathimini ya utekelezaji wa mipango na matumizi ya ardhi katika halmashauri.
  • Kupima kiwango cha ushiriki wa wananchi katika mikutano na asemina kuhusu matumizi bora ya ardhi.

HITIMISHO.

Mkakati huu wa Mawasiliano utahakikisha kuwa wananchi wanapata elimu kuhusu matumizi bora ya ardhi nakuhakikisha kwamba rasilimali hii inatumika kwa ufanisi kwa ajili ya maendeleo endelevu.

 


 .

Matangazo

  • TANGAZO KUTOKA TUME HURU YA UCHAGUZI March 03, 2025
  • MABADILIKO YA UKUMBI WA USAILI MLELE DC October 04, 2024
  • Tangazo la Ajira ya ukusanyaji wa Mapato July 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI MBALIMBALI ZA AFYA December 10, 2021
  • Waonaji wote

Habari Mpya

  • MIRADI YA MWENGE 2025

    July 01, 2025
  • SIKU YA WAJANE DUNIANI

    June 23, 2025
  • ZIARA YA MAFUNZO MANISPAA YA MOSHI {UKUSANYAJI WA MAPATO}

    June 19, 2025
  • ZIARA YA MAFUNZO MANISPAA YA MOSHI {UDHIBITI WA TAKA NGUMU}

    June 20, 2025
  • Waonaji wote

Video

#TBC LIVE ZOOM: YALIYOJIRI NA MAFANIKIO YA ZIARA YA RAIS SAMIA NCHINI QATAR
Video Zaidi

wavuti za Haraka

  • FACE BOOK PAGE YA MLELE
  • MLELE DC BLOG
  • kilimo na umwagiliaji
  • mafunzo tovuti za serikali kanda ya magharibi
  • MAONESHO
  • Tuma barua pepe hapa

Wavuti Mwambata

  • Wizara ya Utumishi wa Umma
  • Tume ya ajira ya Tanzania
  • Baraza la Taifa la Mitihani la Tanzania
  • Jamhuri ya muungano wa tanzania
  • Tawala za mikoa na Serikali za mitaa
  • BARAZA LA MITIHANI

Takwimu za Watembeleaji

world map hits counter

Hesabu Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Mlele

    Anuani ya Posta: S.L.P 686 MPANDA

    Simu: +25525295197

    Simu ya Kiganjani: 0786077372

    Barua pepe: ded@mleledc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ya @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Mlele. Hakizote zimehifadhiwa