Idara ya maji ni miongoni mwa Idara zilizopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mlele. Katika kutekeleza shughuli zake, imegawanyika katika vitengo vifuatavyo:-
Halmashauri ilikuwa na jumla ya wananchi 34,960 kwa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, kwa mwaka 2016 Halmashauri yetu inakadiriwa kuwa na wananchi 39,654 ikiwa ni wastani wa ongezeko la watu kwa asilimia 3.2 kila mwaka. Mpaka sasa ni asilimia 42.1 ya wananchi ndio wanaopata huduma ya maji safi na salama.
Watumishi wa Idara
Idara hii ina jumla ya watumishi 5 katika mchanganuo ufuatao:-
Fundi sanifu - maji (2, Mmoja kujitolea)
MALENGO YA IDARA YA MAJI:
Usimamizi na ufuatiliaji wa miradi ya maji iliyokamilika ambapo huduma ya maji inapatikana kwa uhakika.
NA. |
KIJIJI |
AINA YA MRADI |
MAELEZO |
1.
|
Mapili
|
Uchimbaji wa visima viwili virefu
|
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa.
|
2.
|
Ipwaga
|
Uchimbaji wa kisima kirefu
|
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa.
|
3
|
Mtakuja
|
Uchimbaji wa kisima kirefu
|
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa.
|
4.
|
Kaulolo
|
Uchimbaji wa kisima kirefu
|
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa.
|
5
|
Nsenkwa
|
Uchimbaji wa kisima kirefu
|
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa.
|
6
|
Wachawaseme
|
Uchimbaji wa kisima kirefu
|
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa..
|
7
|
Utende
|
Uchimbaji wa kisima kirefu
|
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa.
|
8
|
Inyonga
|
Uchimbaji wa kisima kirefu
|
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa.
|
9
|
Kamalampaka
|
Uchimbaji wa visima viwili virefu.
|
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa.
|
10
|
Kalovya
|
Uchimbaji wa visima viwili virefu
|
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa.
|
11
|
Kamsisi
|
Uchimbaji wa visima viwili virefu
|
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa..
|
12
|
Songambele
|
Uchimbaji wa kisima kirefu
|
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa.
|
13
|
Imalauduki
|
Uchimbaji wa kisima kirefu
|
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa.
|
14
|
Nsenkwa
|
Uchimbaji wa kisima kirefu
|
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa..
|
15
|
Ilunde
|
Uchimbaji wa kisima kirefu
|
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa.
|
16
|
Isegenezya
|
Uchimbaji wa Visima viwili virefu
|
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa.
|
Usimamizi na ufuatiliaji wa miradi ya maji inayotekelezwa chini ya mpango wa maendeleo ya sekta ya maji kwa ufadhili wa wahisani na Serikali ya Jamhuri ya Tanzania
NA
|
KIJIJI
|
AINA YA MRADI ILIYOTEKELEZWA
|
HATUA YA UTEKELEZAJI
|
MAELEZO
|
1.
|
Mamba
|
Mradi wa maji ya bomba katika kijiji cha Mamba unaofadhiliwa na Benki ya Dunia na Serikali ya Tanzania.
|
Utekelezaji wa mradi huu umekamilika na mradi unatumika pia mradi upo hatua ya matazamio.
|
Utekelezaji wa mradi huu umekamilika na mradi unatumika pia mradi upo hatua ya matazamio.
|
Ujenzi wa miradi mipya
NA
|
KIJIJI
|
AINA YA MRADI
|
HATUA YA UTEKELEZAJI
|
GHARAMA/MAELEZO
|
1
|
Mapili
|
Mradi wa maji ya bomba katika kijiji cha Mapili unaofadhiliwa na Serikali ya Tanzania.
|
Utekelezaji wa mradi huu upo hatua ya Zabuni.
|
Utekelezaji wa mradi huu upo hatua ya zabuni.
|
2
|
Nsenkwa
|
Mradi wa maji ya bomba katika kijiji cha Nsenkwa unaofadhiliwa na Serikali ya Tanzania.
|
Utekelezaji wa mradi huu upo hatua ya Zabuni.
|
Utekelezaji wa mradi huu upo hatua ya zabuni.
|
3
|
Inyonga
|
Mradi wa maji ya bomba katika kijiji cha Inyonga unaofadhiliwa na Serikali ya Tanzania.
|
Utekelezaji wa mradi huu upo hatua ya Zabuni.
|
Utekelezaji wa mradi huu upo hatua ya zabuni.
|
4
|
Wachawaseme
|
Mradi wa maji ya bomba katika kijiji cha Wachawaseme unaofadhiliwa na Serikali ya Tanzania.
|
Utekelezaji wa mradi huu upo hatua ya Zabuni.
|
Utekelezaji wa mradi huu upo hatua ya zabuni.
|
5
|
Ilunde
|
Mradi wa maji ya bomba katika kijiji cha Ilunde unaofadhiliwa na Serikali ya Tanzania.
|
Utekelezaji wa mradi huu upo hatua ya Zabuni.
|
Utekelezaji wa mradi huu upo hatua ya zabuni.
|
6
|
Kamsisi
|
Mradi wa maji ya bomba katika kijiji cha Kamsisi unaofadhiliwa na Serikali ya Tanzania.
|
Utekelezaji wa mradi huu upo hatua ya Zabuni.
|
Utekelezaji wa mradi huu upo hatua ya zabuni.
|
Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Mlele
Anuani ya Posta: S.L.P 686 MPANDA
Simu: +255759023788
Simu ya Kiganjani: 0759023788
Barua pepe: ded@mleledc.go.tz
Hakimiliki ya @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Mlele. Hakizote zimehifadhiwa