• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watuishi |
Mlele District Council
Mlele District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mlele

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya
    • Viengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orotha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Mazingira
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa
      • Kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma
    • Sheria Ndogo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kiini cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Album ya Picha
    • Video
    • Hotuba
  • TASAF

Maji

Idara ya maji ni miongoni mwa Idara zilizopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mlele.  Katika kutekeleza shughuli zake, imegawanyika katika vitengo vifuatavyo:-

  1. Uendeshaji na Matengenezo (rehabilitation)
  2. Ujenzi na usimamizi wa miradi mipya ya maji (construction),

Halmashauri ilikuwa na jumla ya wananchi 34,960 kwa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, kwa mwaka 2016 Halmashauri yetu inakadiriwa kuwa na wananchi 39,654 ikiwa ni wastani wa ongezeko la watu kwa asilimia 3.2 kila mwaka. Mpaka sasa ni asilimia 42.1 ya wananchi ndio wanaopata huduma ya maji safi na salama. 

Watumishi wa Idara

Idara hii ina jumla ya watumishi 5 katika mchanganuo ufuatao:-

  1. Mhandisi wa maji Mmoja (1)
  2. Mhandisi ujenzi mmoja (1)
  3. Fundi sanifu - ujenzi mmoja (1)

Fundi sanifu - maji (2, Mmoja kujitolea)

 

MALENGO YA IDARA YA MAJI:

  1. Kuhakikisha upatikanaji wa maji kwa wananchi katika umbali wa kutembea (kwa miguu) usiozidi mita 400 kutoka 42.1% ya sasa hadi 80% ifikapo Juni 2017 kwa kutekeleza yafuatayo.
    1. Usimamizi na ufuatiliaji wa miradi ya maji iliyokamilika ambapo huduma ya maji inapatikana kwa uhakika.
    2. Usimamizi na ufuatiliaji wa miradi ya maji inayotekelezwa chini ya mpango wa maendeleo ya sekta ya maji kwa ufadhili wa wahisani na Serikali ya Jamhuri ya Tanzania
    3. Ukarabati wa miradi ya maji.
    4. Ujenzi miradi mipya ya maji.
    5. Upanuzi wa miradi ya maji ili kufikisha huduma katika maeneo ya jirani ilipo miradi inayotoa huduma.
  2. Kutoa elimu ya uundwaji wa Jumuiya za watumiaji maji pamoja na kuunda jumuiya husika.
  3. Kutoa Elimu ya usafi wa mazingira na usafi wa unawaji mikono kabla ya kula, unawaji mikono kwa maji na sabuni baada ya kutoka chooni, ujenzi wa vyoo bora na matumizi bora  kuepuka magonjwa ya mlipuko.
  1. Kutoa elimu ya uhifadhi wa mazingira na utunzaji wa vyanzo vya maji pamoja na upandaji wa miti rafiki ya maji kuzunguka au karibu na maeneo ya vyanzo vya maji.

Usimamizi na ufuatiliaji wa miradi ya maji iliyokamilika ambapo huduma ya maji inapatikana kwa uhakika.

NA.

KIJIJI

AINA YA MRADI

MAELEZO

1.
Mapili
Uchimbaji wa visima viwili virefu
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa.
2.
Ipwaga
Uchimbaji wa kisima kirefu
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa.
3
Mtakuja
Uchimbaji wa kisima kirefu
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa.
4.
Kaulolo
Uchimbaji wa kisima kirefu
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa.
5
Nsenkwa
Uchimbaji wa kisima kirefu
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa.
6
Wachawaseme
Uchimbaji wa kisima kirefu
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa..
7
Utende
Uchimbaji wa kisima kirefu
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa.
8
Inyonga
Uchimbaji wa kisima kirefu
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa.
9
Kamalampaka
Uchimbaji wa visima viwili virefu.
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa.
10
Kalovya
Uchimbaji wa visima viwili virefu
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa.
11
Kamsisi
Uchimbaji wa visima viwili virefu
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa..
12
Songambele
Uchimbaji wa kisima kirefu
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa.
13
Imalauduki
Uchimbaji wa kisima kirefu
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa.
14
Nsenkwa
Uchimbaji wa kisima kirefu
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa..
15
Ilunde
Uchimbaji wa kisima kirefu
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa.
16
Isegenezya
Uchimbaji wa Visima viwili virefu
Kazi ya uchimbaji imekamilika na wananchi wanapata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa.

 

Usimamizi na ufuatiliaji wa miradi ya maji inayotekelezwa chini ya mpango wa maendeleo ya sekta ya maji kwa ufadhili wa wahisani na Serikali ya Jamhuri ya Tanzania

 

NA 
KIJIJI 
  
AINA YA MRADI ILIYOTEKELEZWA  
HATUA YA UTEKELEZAJI 
MAELEZO  
1.
Mamba
Mradi wa maji ya bomba katika kijiji cha Mamba unaofadhiliwa na Benki ya Dunia na Serikali ya Tanzania.
Utekelezaji wa mradi huu umekamilika na mradi unatumika pia mradi upo hatua ya matazamio.
Utekelezaji wa mradi huu umekamilika na mradi unatumika pia mradi upo hatua ya matazamio.

 

 

Ujenzi wa miradi mipya

NA 
KIJIJI 
  
AINA YA MRADI  
HATUA YA UTEKELEZAJI
GHARAMA/MAELEZO   
1
Mapili
Mradi wa maji ya bomba katika kijiji cha Mapili unaofadhiliwa na Serikali ya Tanzania.
Utekelezaji wa mradi huu upo hatua ya Zabuni.
Utekelezaji wa mradi huu upo hatua ya zabuni.
2
Nsenkwa
Mradi wa maji ya bomba katika kijiji cha Nsenkwa unaofadhiliwa na Serikali ya Tanzania.
Utekelezaji wa mradi huu upo hatua ya Zabuni.
Utekelezaji wa mradi huu upo hatua ya zabuni.
3
Inyonga
Mradi wa maji ya bomba katika kijiji cha Inyonga unaofadhiliwa na Serikali ya Tanzania.
Utekelezaji wa mradi huu upo hatua ya Zabuni.
Utekelezaji wa mradi huu upo hatua ya zabuni.
4
Wachawaseme
Mradi wa maji ya bomba katika kijiji cha Wachawaseme unaofadhiliwa na Serikali ya Tanzania.
Utekelezaji wa mradi huu upo hatua ya Zabuni.
Utekelezaji wa mradi huu upo hatua ya zabuni.
5
Ilunde
Mradi wa maji ya bomba katika kijiji cha Ilunde unaofadhiliwa na Serikali ya Tanzania.
Utekelezaji wa mradi huu upo hatua ya Zabuni.
Utekelezaji wa mradi huu upo hatua ya zabuni.
6
Kamsisi
Mradi wa maji ya bomba katika kijiji cha Kamsisi unaofadhiliwa na Serikali ya Tanzania.
Utekelezaji wa mradi huu upo hatua ya Zabuni.
Utekelezaji wa mradi huu upo hatua ya zabuni.


Matangazo

  • MAPOKEZI YA MWENGE April 09, 2017
  • WIMBO WA MWENGE April 09, 2017
  • TANGAZO LA KUNYWA DAWA ZA MINYOO YA TUMBO April 26, 2017
  • Nafasi za kazi mbalimbali serikalini July 11, 2018
  • Waonaji wote

Habari Mpya

  • ziara ya Mkuu wa Mkoa kukagua miradi ya maendeleo.

    February 24, 2021
  • Mkuu wa Mkoa Katavi Mhe, Juma Homera na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Wilaya Mlele

    February 24, 2021
  • Tawala wa Wilaya ya Mlele Mhe Linkolin Tamba

    February 14, 2021
  • Fursa kwenye sekta ya kilimo

    February 14, 2021
  • Waonaji wote

Video

KATUNI SAFI KWA AJILI YA WATOTO
Video Zaidi

wavuti za Haraka

  • FACE BOOK PAGE YA MLELE
  • MLELE DC BLOG
  • kilimo na umwagiliaji
  • mafunzo tovuti za serikali kanda ya magharibi
  • MAONESHO

Wavuti Mwambata

  • Wizara ya Utumishi wa Umma
  • Tume ya ajira ya Tanzania
  • Baraza la Taifa la Mitihani la Tanzania
  • Jamhuri ya muungano wa tanzania
  • Tawala za mikoa na Serikali za mitaa
  • BARAZA LA MITIHANI

Takwimu za Watembeleaji

world map hits counter

Hesabu Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Mlele

    Anuani ya Posta: S.L.P 686 MPANDA

    Simu: +255759023788

    Simu ya Kiganjani: 0759023788

    Barua pepe: ded@mleledc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ya @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Mlele. Hakizote zimehifadhiwa