• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watuishi |
Mlele District Council
Mlele District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mlele

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Maji
        • Historia
        • Dhima na Dira
        • Muundo wa Taasisi
        • Ukaribisho
        • Jaribu
        • what we do
        • Huduma ya Maji
        • Huduma za Afya
        • Elimu Msingi
        • Huduma
        • Mwenyekiti wa Halmashauri
        • Mkurugenzi Mtendaji
        • Utawala na Rasilimali watu
        • /TEHAMA-na-Takwimu
        • Idara ya Afya na Ustawi wa Jamii
        • Mipango takwimu na Ufuatiaji
        • Ardhi na Maliasili
        • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Sheria
        • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Maendeleo ya Jamii
        • Idara
        • Vitengo
        • Ujenzi
        • Maji
        • Ugavi na Manunuzi
        • Usafishaji na Mazingira
        • Uchaguzi
        • Tasaf III
        • Mainstreaming Sustainable Forest Managment in Woodland of Western Tanzania Project
        • Mwenge waUhuru
        • UKIMWI/ VVU
        • Risk Oficer Cordinator
        • Miradi inayoendelea
        • Zabuni
        • Kazi za Idara Utumishi
        • Muundo wa Halmashauri
        • Miradi Lengwa
        • Kitengo cha nyuki
        • Mwenge
        • Sera ya Faragha
        • Kanusho
        • Machapisho
        • Sheria
        • MTF
        • Fomu
        • Orodha ya Madiwani
        • Fedha, Uongozi na Mipango
        • UKIMWI
        • Maji
        • Mipango Miji na Mazingira
        • Uchumi, Afya na Elimu
        • Maadili
        • Ratiba
        • Vikao vya waheshimiwa
        • Kuonana na Mwenyekiti
        • Madiwani
        • Kanausho
        • Huduma ya Maji
        • Huduma ya Afya
        • Huduma ya Kilimo
        • Huduma ya Elimu
        • Huduma ya Ufugaji
        • Huduma za Uvuvi
        • Huduma za Sheria
        • Huduma za kiutumishi
        • Vivutio vya Utalii
        • Kilimo
        • Ufugaji
        • Itakayo tekelezwa
        • Inayoendelea
        • Iliyo Tekelezwa
        • muongozo
        • Sheria Ndogo
        • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
        • Mpango Mkakati
        • Taarifa
        • Fomu Mbalimbali
        • Taarifa kwa Umma
        • Video za shughuli zetu
        • Maktaba ya Picha
        • Magazeti
        • Hotuba
        • ORODHA YA WAJUMBE WA KAMATI MBALIMBALI ZA KUDUMUKWA MWAKA WA FEDHA 2019/2020
        • KARENDA YA VIKAO VYA KISHERIA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA MLELE KWA MWAKA WA FEDHA 2019/2020
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya
    • Viengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Mahusiano
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Uchaguzi Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orotha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Mazingira
      • UKIMWI
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa
      • Kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kiini cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Album ya Picha
    • Video
    • Hotuba
  • TASAF

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Mlele

Posted on: September 16th, 2023

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Mlele Mhe.Soud Mbogo akisoma taarifa ya utekelezaji wa kazi za Serikali wakati wa Mkutano wa  kufunga  mwaka   wa fedha 2022/2023  uliofanyika ukumbi wa mikutano Halmashauri ya Wilaya ya Mlele  tarehe 15’Septemba 2023

Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mlele wakisikiliza kwa makini taarifa ya    utekelezaji wa kazi za Serikali  ya kufunga mwaka , kwa mwaka wa fedha 2022/2023.iliyowasilishwa na Mhe,Soud Mbogo Mwenyekiti wa Halmashauri.


1Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mlele  Bi.Teresia Irafay  akitoa neno la utangulizi kabla ya kumkaribisha Mwenyekiti afungue Mkutano wa Baraza la Madiwani wa  mwaka wa  kufunga  mwaka wa fedha 2022/2023



Wataalam wa Halmashauri ambao ni wakuu wa Divisheni na Vitengo vya Halmashauri ya Wilaya ya Mlele wakifuatilia kwa umakini wakati ikisomwa taarifa ya    utekelezaji wa kazi za serikali  ya kufunga mwaka , kwa mwaka wa fedha 2022/2023.iliyowasilishwa na Mhe,Soud Mbogo Mwenyekiti wa Halmashauri


Na Kibada Ernest- Mlele

16’ SEPTEMBA 2023

HALMASHAURI YAVUKA LENGO LA UKUSANYAJI WA MAPATO

Halmashauri ya Wilaya ya Mlele imefanikiwa kuongeza  ukusanyaji wa  mapato yake kutoka makisio ya ukusanyaji mapato ya ndani mara dufu kutoka   milioni 800  kwa mwaka wa fedha 2020/2021 hadi kufikia bilioni moja  mwaka 2021 kufikia 2021/2022.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Mlele Mhe.Soud Mbogo ameuambia mkutano wa Baraza la Madiwani la mwaka  wakati akisoma taarifa ya  utekelezaji ya shughuli za serikali wakati wa kufunga mwaka 2022/2023.Mhe,Mbogo ameeleza kuwa ongezeko hilo ni la Zaidi ya shilingi milioni 464  ambayo ni sawa na asilimia 58 hivyo hivyo makusanyo halisi yameongezeka  ambapo amewaomba watumishi na waheshimiwa madiwani

Akizungumzia mafanikio ya ujenzi wa vyumba vya madarasa ameeleza kuwa Halmashauri ilipokea kiasi cha shilingi milioni  180 zilitumika kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa kidato cha kwanza.

Alitumia nafasi hiyo kuishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  kwa  kuendeleea kuleta fedha za maendeleo ambapo  Halmashauri imepatiwa kiasi cha shilingi milioni 56  kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vingine vya madarasa kupitia Global Fund ambazo ni fedha zilizokuwa nje ya Bajeti

Mkutano huo wa Baraza la Madiwani umemchangua  Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mhe.Leonard Kiyungi Diwani wa Kata ya Kamsisi Kuwa Makamu Mwenyekiti kwa awamu nyingne tena.

Kuendelea na kiti chake baada ya waheshimiwa madiwa kupigia kura za ndiyo  hivyo kufanikiwa kutetea nafasi yake tena.

Mbali ya kumchagua Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri pia Kamati mbalimbali za Kudumu za Madiwani ziliundwa katika Mkutano huo baada ya kuvunjwa wajumbe waliokuwa wamemaliza muda wao kwa mjibu wa taratibu Kanuni na Sheria zinazoongoza Mikutano ya Mabaraza ya Madiwani

Kamati zilizoundwa ni Kamati  ya Fedha Uongozi na Mipango,Kamati ya Afya Elimu na Maji,Kamati ya Uchumi ujenzi na Mazingira,Kamati ya Kudumu ya Kudhibiti Ukimwi na  kudumu ya Maadili ya Madiwani.

Matangazo

  • TANGAZO KUTOKA TUME HURU YA UCHAGUZI March 03, 2025
  • MABADILIKO YA UKUMBI WA USAILI MLELE DC October 04, 2024
  • Tangazo la Ajira ya ukusanyaji wa Mapato July 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI MBALIMBALI ZA AFYA December 10, 2021
  • Waonaji wote

Habari Mpya

  • MAENDELEO YA UJENZI WA SHULE SHIKIZI

    April 03, 2025
  • KIKAO CHA WAMILIKI WA VIWANDA VYA KUCHAKATA UNGA

    March 14, 2025
  • MAMLAKA YA ELIMU TANZANIA TEA KUKABIDHI MIRADI

    February 22, 2025
  • MSAADA WA MADAWATI 136

    January 30, 2025
  • Waonaji wote

Video

#TBC LIVE ZOOM: YALIYOJIRI NA MAFANIKIO YA ZIARA YA RAIS SAMIA NCHINI QATAR
Video Zaidi

wavuti za Haraka

  • FACE BOOK PAGE YA MLELE
  • MLELE DC BLOG
  • kilimo na umwagiliaji
  • mafunzo tovuti za serikali kanda ya magharibi
  • MAONESHO
  • Tuma barua pepe hapa

Wavuti Mwambata

  • Wizara ya Utumishi wa Umma
  • Tume ya ajira ya Tanzania
  • Baraza la Taifa la Mitihani la Tanzania
  • Jamhuri ya muungano wa tanzania
  • Tawala za mikoa na Serikali za mitaa
  • BARAZA LA MITIHANI

Takwimu za Watembeleaji

world map hits counter

Hesabu Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Mlele

    Anuani ya Posta: S.L.P 686 MPANDA

    Simu: +25525295197

    Simu ya Kiganjani: 0786077372

    Barua pepe: ded@mleledc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ya @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Mlele. Hakizote zimehifadhiwa