• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watuishi |
Mlele District Council
Mlele District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mlele

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Maji
        • Historia
        • Dhima na Dira
        • Muundo wa Taasisi
        • Ukaribisho
        • Huduma
        • Jaribu
        • what we do
        • Huduma ya Maji
        • Huduma za Afya
        • Elimu Msingi
        • Huduma
        • Mwenyekiti wa Halmashauri
        • Mkurugenzi Mtendaji
        • Utawala na Rasilimali watu
        • /TEHAMA-na-Takwimu
        • Idara ya Afya na Ustawi wa Jamii
        • Mipango takwimu na Ufuatiaji
        • Ardhi na Maliasili
        • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Sheria
        • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Maendeleo ya Jamii
        • Idara
        • Vitengo
        • Ujenzi
        • Maji
        • Ugavi na Manunuzi
        • Usafishaji na Mazingira
        • Uchaguzi
        • Tasaf III
        • Mainstreaming Sustainable Forest Managment in Woodland of Western Tanzania Project
        • Mwenge waUhuru
        • UKIMWI/ VVU
        • Risk Oficer Cordinator
        • Miradi inayoendelea
        • Zabuni
        • Kazi za Idara Utumishi
        • Muundo wa Halmashauri
        • Miradi Lengwa
        • Kitengo cha nyuki
        • Mwenge
        • Sera ya Faragha
        • Kanusho
        • Machapisho
        • Sheria
        • MTF
        • Fomu
        • Orodha ya Madiwani
        • Fedha, Uongozi na Mipango
        • UKIMWI
        • Maji
        • Mipango Miji na Mazingira
        • Uchumi, Afya na Elimu
        • Maadili
        • Ratiba
        • Vikao vya waheshimiwa
        • Kuonana na Mwenyekiti
        • Madiwani
        • Kanausho
        • Huduma ya Maji
        • Huduma ya Afya
        • Huduma ya Kilimo
        • Huduma ya Elimu
        • Huduma ya Ufugaji
        • Huduma za Uvuvi
        • Huduma za Sheria
        • Huduma za kiutumishi
        • Vivutio vya Utalii
        • Kilimo
        • Ufugaji
        • Itakayo tekelezwa
        • Inayoendelea
        • Iliyo Tekelezwa
        • muongozo
        • Sheria Ndogo
        • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
        • Mpango Mkakati
        • Taarifa
        • Fomu Mbalimbali
        • Taarifa kwa Umma
        • Video za shughuli zetu
        • Maktaba ya Picha
        • Magazeti
        • Hotuba
        • ORODHA YA WAJUMBE WA KAMATI MBALIMBALI ZA KUDUMUKWA MWAKA WA FEDHA 2019/2020
        • KARENDA YA VIKAO VYA KISHERIA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA MLELE KWA MWAKA WA FEDHA 2019/2020
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya
    • Viengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Mahusiano
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Uchaguzi Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orotha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Mazingira
      • UKIMWI
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa
      • Kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kiini cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Album ya Picha
    • Video
    • Hotuba
  • TASAF

ELIMU

Start Date: 2021-04-16
End Date: 0202-04-16

HALMASHAURI YA WILAYA YA MLELE

IDARA YA ELIMU MSINGI

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA IDARA KWA KIPINDI CHA MWEZI JANUARI-MACHI 2021.

1.0: UTANGULIZI

Halmashauri ya Wilaya ya mlele ina tarafa moja yenye jumla ya kata sita za kielimu,vijiji kumi na nane(18) na shule kumi na tisa (19).Halmashauri ya wilaya ya mlele ina jumla ya wanafunzi 17676, wakiwemo wavulana 9037 na wasichana 8639.Ina idadi ya walimu 183, wanaume 146, na wanawake 37.

2.0 IDADI YA WANAFUNZI NA WALIMU HADI MACHI 31 2020

NA

HALMASHAURI

JINA LA SHULE

IDADI YA WANAFUNZI (awali-vii)

WALIMU

WAV

WAS

JML

MAHITAJI

WALIOPO

UPUNGUFU

PTR

ME
KE
JM

1

MLELE

INYONGA

995

1014

2009

41

11

13

24

17

1:77

2

MLELE

KALOVYA

532

544

1076

21

9

3

12

9

1:80

3

MLELE

KAMALAMPAKA

666

683

1349

26

8

0

8

18

1:143

4

MLELE

NSENKWA

587

586

1173

22

12

2

14

8

1:72

5

MLELE

MTAKUJA

410

373

783

15

10

1

11

4

1:60

6

MLELE

MGOMBE
1468

1360

2828

57

15

4

19

38

1:134

7

MLELE

WACHAWASEME

247

216

463

9

6

2

8

1

1:53

8

MLELE

KUSA

320

354

674

14

8

1

9

5

1:72

9

MLELE

ILELA

374

350

724

14

10

1

11

3

1:56

10

MLELE

MAPILI

738

714

1452

28

9

5

14

14

1:91

11

MLELE

MASIGO

216

218

434

8

8

1

9

0

1:41

12

MLELE

KAMSISI

1334

1252

2586

52

23

1

24

28

1:98

13

MLELE

ILUNDE

1150

975

2125

43

17

3

20

23

1:97

 
JUMLA
 

9037

8639

17676

351

146

37

183

168

 

 2.0: SHUGHULI   ZILIZOTEKELEZWA NA IDARA MWEZI JANUARI-MACHI, 2021.

Kuratibu na kusimamia masuala ya taaluma katika shule za Msingi.

Kusimamia ujenzi wa miundombinu katika shule za Msingi.

Kushughulikia urekebishaji wa takwimu za wanafunzi katika mfumo wa PREMS

Kusimamia na kuratibu usajili wa shule sita (06) za Msingi

Kusimamia na kuratibu utengenezaji wa madawati ya wanafunzi wa shule za Msingi.

Kuratibu na Kusimamia zoezi la kuendelea kuchukua tahadhali ya magonjwa ya mlipuko hasa ugonjwa wa Covid 19.

Kuratibu  ufanyikaji wa mtihani wa majaribio ngazi ya Kata kwa madarasa ya mitihani (darasa la saba) pamoja na ufanyikaji wa  mitihani kabla ya likizo fupi ya pasaka 2021.

Kusimamia uandikishaji wa darasa la awali, la kwanza na MEMKWA.

Kusimamia na kushiriki katika zoezi la kufanya tathimini ya matokeo ya darasa la saba ya mwaka 2020 Mkoani.

Kufuatilia zoezi la ufunguaji shule za Msingi kwa muhula wa kwanza 2021.

Usajili wa watahiniwa watakaofanya mtihani wa kumaliza elimu ya Msingi 2021 na watakao fanya upimaji wa kitaifa darasa la nne.

Kuratibu na kusimamia masuala ya taaluma katika shule za Msingi.

Kusambaza fomu za ufundishaji shuleni kupitia kwa waratibu wa elimu kata

Shule  zote kumi na tisa zimejaza fomu za ufundishaji  kupitia kwa Waratibu Elimu Kata(MEK) na kuwasilisha ngazi ya Halmashauri kwa ufuatiliaji zaidi.

 Kuanza ukataji wa Magogo kwa ajili ya utengenezaji wa Madawati ya shule za Msingi

Kuratibu na kusimamia maandalizi ya UMITASHUMTA

 

 

 

 

 

 

4.0 CHANGAMOTO

  • Upungufu wa Walimu, walimu wanaohitajika 351, waliopo 183 pungufu 168.
  • Upungufu wa  vyumba vya madarasa, yanayohitajika ni madarasa 351, yaliyopo 140, pungufu 211.
  • Upungufu wa nyumba za walimu,yanayohitajika ni nyumba 183, zilizopo 58, Pungufu 125.
  • Uhaba wa vifaa vya kufundishia wanafunzi wenye mahitaji  maalumu
  • Upungufu wa miundombinu kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum
  • Upungufu wa walimu wenye taaluma ya elimu maalum
  •  
  •  
  •  
  •  
  • 5.0 UTATUZI
  • Kuhamasisha wazazi kuchangia Ujenzi wa Madarasa na Nyumba za walimu.
  • Kutoa taarifa kwa ngazi husika kuhusu upungufu wa Walimu wenye taaluma ya elimu maalum pamoja na walimu wa kawaida.
  • Kushirikisha wadau mbalimbali kusaidia kuboresha miundombinu kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum.
  • Naomba Kuwasilisha

PASCHAL BEREGE

AFISA ELIMU MSINGI

HALMASHAURI YA WILAYA MLELE

.

Matangazo

  • Matokeo ya darasa saba mtihani wa TAIFA December 01, 2022
  • Tangazo la Ajira ya ukusanyaji wa Mapato July 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI MBALIMBALI ZA AFYA December 10, 2021
  • Tangazo la kuitwa KAZINI December 23, 2021
  • Waonaji wote

Habari Mpya

  • ujenzi wa vyumba vya madarasa wakamilika.

    January 02, 2023
  • ujenzi wa vyumba vya madarasa wakamilika.

    January 02, 2023
  • ujenzi wa vyumba vya madarasa wakamilika.

    January 02, 2023
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MLELE YAPONGEZWA UKUSANYAJI MAPATO.

    December 15, 2022
  • Waonaji wote

Video

#TBC LIVE ZOOM: YALIYOJIRI NA MAFANIKIO YA ZIARA YA RAIS SAMIA NCHINI QATAR
Video Zaidi

wavuti za Haraka

  • FACE BOOK PAGE YA MLELE
  • MLELE DC BLOG
  • kilimo na umwagiliaji
  • mafunzo tovuti za serikali kanda ya magharibi
  • MAONESHO
  • Tuma barua pepe hapa

Wavuti Mwambata

  • Wizara ya Utumishi wa Umma
  • Tume ya ajira ya Tanzania
  • Baraza la Taifa la Mitihani la Tanzania
  • Jamhuri ya muungano wa tanzania
  • Tawala za mikoa na Serikali za mitaa
  • BARAZA LA MITIHANI

Takwimu za Watembeleaji

world map hits counter

Hesabu Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Mlele

    Anuani ya Posta: S.L.P 686 MPANDA

    Simu: +25525295197

    Simu ya Kiganjani: 0762362950

    Barua pepe: ded@mleledc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ya @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Mlele. Hakizote zimehifadhiwa