• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watuishi |
Mlele District Council
Mlele District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mlele

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya
    • Viengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orotha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Mazingira
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa
      • Kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma
    • Sheria Ndogo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kiini cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Album ya Picha
    • Video
    • Hotuba
  • TASAF

Uchaguzi

MALENGO

. Kuainisha nafasi wazi za viongozi wa vijiji, mitaa, vitongoji na wajumbe waserikali wa vijiji/mitaa na kuwasilisha kwenye mamlaka husika

. Kuratibu chaguzi ndogo za Serikali a Mitaa

. kuandaa ratiba ya uchaguzi na kusambaza kwa vyama vya siasa na wadau wengine

. Kuratibu uteuzi wa wagombea

. Kuratibu uanzishwaji wa maeneo mapya ya kiutawala

. Kuratibu mkutano wa Kwanza wa uchaguzi wa wenyeviti wa Halmashauri mara baada ya uchaguzi mkuu

. Uhakiki endelevu wa vitambulisho vya wapiga kura

. Kutoa elimu ya uchaguzi ya mpigakura

. kutoa matangazo kwa nafasi wazi ya vyama vya siasa

. kutoa mafunzo ya utawala bora kwa viongozi wa serikali za mitaa

Uchaguzi

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, Ibara ya 65inaelekeza kuwa Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani ufanyike kila baadaya kipindi cha miaka mitano (5).Kama ilivyo kwa Nchi nyingine Duniani, katika kuendesha shughuli za Uchaguzi,Tanzania hutumia utaratibu wa mzunguko wa Uchaguzi ambao shughuli zakehugawanywa katika awamu tatu (3). Awamu hizo ni shughuli kabla, wakati na baadaya Uchaguzi.Hivyo, Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetekeleza mfumo wa mzunguko wa Uchaguzikwa kufuata awamu hizo Tatu kama ifuatavyo:(a) Kabla ya UchaguziShughuli zilizofanyika katika awamu kabla ya Uchaguzi ni pamoja na:(i) Uandaaji wa Bajeti;(ii) Uandikishaji wa Wapiga Kura;(iii) Ununuzi wa Vifaa;(iv) Uandaaji wa Kalenda na Mpango wa Utekelezaji;(v) Marekebisho ya Sheria na Maelekezo ya Watendaji na Wadau wa Uchaguzi;(vi) Mafunzo kwa Watendaji wa Uchaguzi;(vii) Kutoa Elimu ya Mpiga Kura; na(b) Wakati wa UchaguziKatika awamu hii, Tume ilifanya shughuli zifuatazo:(i) Uteuzi wa Wagombea;(ii) Uratibu wa Kampeni za Wagombea;55(iii) Utekelezaji wa Kamati za Maadili;(iv) Usajili wa Watazamaji wa Uchaguzi.(v) Kuchapa na kusambaza Karatasi za Kura;(vi) Kusambaza Vifaa vya Uchaguzi;Upigaji Kura;(vii) Kuhesabu Kura; na(viii) Kutangaza Matokeo.(c) Baada ya UchaguziKatika awamu hii, Tume inafanya shughuli zifuatazo:(i) Tathmini baada ya Uchaguzi Mkuu;(ii) Kushughulikia Kesi za Uchaguzi; na(iii) Kuandaa Taarifa ya Uchaguzi Mkuu.(iv) Marekebisho ya Sheria za Uchaguzi;(v) Kupitia na kuboresha Daftari la Wapiga Kura;(vi) Kupitia na kuboresha Mifumo ya Uchaguzi;(vii) Kupitia na kuboresha mipaka ya Majimbo ya Uchaguzi;(viii) Kupitia na kuboresha Muundo wa Tume;(ix) Ukaguzi wa matumizi ya fedha na vifaa vilivyotumika katika Uchaguzi Mkuu;(x) Kupitia Mpango Mkakati; na(xi) Kuandaa Mpango Kazi kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu unaofuata.

Matangazo

  • MAPOKEZI YA MWENGE April 09, 2017
  • WIMBO WA MWENGE April 09, 2017
  • TANGAZO LA KUNYWA DAWA ZA MINYOO YA TUMBO April 26, 2017
  • Nafasi za kazi mbalimbali serikalini July 11, 2018
  • Waonaji wote

Habari Mpya

  • Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Uwekezaji) Prof. Kitila Mkumbo

    March 05, 2021
  • Mkuu wa Mkoa wa Katavi Juma Homera

    March 05, 2021
  • ziara ya Mkuu wa Mkoa kukagua miradi ya maendeleo.

    February 24, 2021
  • Mkuu wa Mkoa Katavi Mhe, Juma Homera na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Wilaya Mlele

    February 24, 2021
  • Waonaji wote

Video

KATUNI SAFI KWA AJILI YA WATOTO
Video Zaidi

wavuti za Haraka

  • FACE BOOK PAGE YA MLELE
  • MLELE DC BLOG
  • kilimo na umwagiliaji
  • mafunzo tovuti za serikali kanda ya magharibi
  • MAONESHO

Wavuti Mwambata

  • Wizara ya Utumishi wa Umma
  • Tume ya ajira ya Tanzania
  • Baraza la Taifa la Mitihani la Tanzania
  • Jamhuri ya muungano wa tanzania
  • Tawala za mikoa na Serikali za mitaa
  • BARAZA LA MITIHANI

Takwimu za Watembeleaji

world map hits counter

Hesabu Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Mlele

    Anuani ya Posta: S.L.P 686 MPANDA

    Simu: +255759023788

    Simu ya Kiganjani: 0759023788

    Barua pepe: ded@mleledc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ya @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Mlele. Hakizote zimehifadhiwa